ropam
Senior Member
- Aug 11, 2010
- 173
- 35
Habari wadau,
Hivi employer anaposema hataki transcript....ina maana anataka cheti gani cha chuo? au ndo ile leaving certificate? for once nilihisi lile tangazo la kazi la serikali limekosewa...hasa pale kwenye masharti ya kuomba kazi kipengele cha 8! kwa transcript,provisional result etc hazitapokelewa!
Hivi employer anaposema hataki transcript....ina maana anataka cheti gani cha chuo? au ndo ile leaving certificate? for once nilihisi lile tangazo la kazi la serikali limekosewa...hasa pale kwenye masharti ya kuomba kazi kipengele cha 8! kwa transcript,provisional result etc hazitapokelewa!