Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,922
- 33,363
Kama fine wanazotoza si za kuwaonea wananchi basi ni vizuri, ila isifanywe kuwa ndio chanzo kimojawapo kikuu cha mapato ya serikali kuepuka uonevu kwa kuwa kuna makosa mengine ni kuonya tu
Naafikiana nawe 100%