mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 770
Leo nilipokuwa mjini nimeona waendesha vyombo vya moto wakipuuza taa za kuongozea magari.
Nimepata wazo kuwa sasa umefika wakati ziwekwe kamera kwenye makutano ya barabara na maderva wanaofanya makosa ya kupita wakati taa hazijaruhusu watozwe faini.
Nimepata wazo kuwa sasa umefika wakati ziwekwe kamera kwenye makutano ya barabara na maderva wanaofanya makosa ya kupita wakati taa hazijaruhusu watozwe faini.