Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu poleni kwa majukumu. Jana nilipata kigugumizi cha mwaka pale ambapo katika harakati za kufungua kampuni yangu niliambiwa siwezi kupata TIN hadi nilipe provisional tax.
Nilimuuliza huyo afisa wa TRA inakuwaje mbona hata leseni ya biashara sijapata? Akniambia eti huo ndio i utaratibu na akanikadiria mahela kibao ambayo sijui nitoe wapi.
Jamani hivi ni kweli unadaiwa kodi kabla hujafungua hata biashara yenyewe au inakuwaje hii? TIN si bure au mimi ndio sielewi kitu hapa?
Tafadhali naombwa nieleweshwe maana wamenifrustrate moja kwa moja.
Nilimuuliza huyo afisa wa TRA inakuwaje mbona hata leseni ya biashara sijapata? Akniambia eti huo ndio i utaratibu na akanikadiria mahela kibao ambayo sijui nitoe wapi.
Jamani hivi ni kweli unadaiwa kodi kabla hujafungua hata biashara yenyewe au inakuwaje hii? TIN si bure au mimi ndio sielewi kitu hapa?
Tafadhali naombwa nieleweshwe maana wamenifrustrate moja kwa moja.