TRA mnawaibia TFF na timu za mpira kwa kuwakata VAT badala ya kusubiri iletwe kwenye ritani za mwezi husika

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,228
5,950
FuJO_McWAAQfJus

Kwa kawaida mlipa kodi aliyesajiriwa kwenye VAT hutakiwa kulipa au kudai kurejeshewa tofauti ya kodi kwenye mauzo na kodi kwenye manunuzi kutegemeana na ukokotozi. Kwa taarifa hii ya TFF inaelekea TRA imechuka 18 % mapato yote ya mchezo wa siku husika. Kwa maoni yangu hii ni kinyume cha sheria ya VAT. Kama siko sahihi naomba usaidizi. Kama niko sahihi TRA wanaibia TFF na vilabu
 
FuJO_McWAAQfJus

Kwa kawaida mlipa kodi aliyesajiriwa kwenye VAT hutakiwa kulipa au kudai kurejeshewa tofauti ya kodi kwenye mauzo na kodi kwenye manunuzi kutegemeana na ukokotozi. Kwa taarifa hii ya TFF inaelekea TRA imechuka 18 % mapato yote ya mchezo wa siku husika. Kwa maoni yangu hii ni kinyume cha sheria ya VAT. Kama siko sahihi naomba usaidizi. Kama niko sahihi TRA wanaibia TFF na vilabu
Ninyi ndio hamlipi kodi stahiki za serikali.
Hiyo kodi iliyolipwa TRA ni sahihi kabisa.
Kuna watu mnafikiri kodi za nchi zinatakiwa kuliwa na watu fulani tu, huku mkifikiri zaidi kuwa kodi haziwahusu.
 
Ninyi ndio hamlipi kodi stahiki za serikali.
Hiyo kodi iliyolipwa TRA ni sahihi kabisa.
Kuna watu mnafikiri kodi za nchi zinatakiwa kuliwa na watu fulani tu, huku mkifikiri zaidi kuwa kodi haziwahusu.
Mkuu hutakiwi tu kulipa kodi bali unatakiwa kulipa kodi sahihi kwa mjibu wa sheria na taratibu; na kwa njisi nilivyoona hapo VAT imetozwa na kulipwa kinyume cha sheria na utaratibu.
 
Mkuu hutakiwi tu kulipa kodi bali unatakiwa kulipa kodi sahihi kwa mjibu wa sheria na taratibu; na kwa njisi nilivyoona hapo VAT imetozwa na kulipwa kinyume cha sheria na utaratibu.
Naona hujaelewa kodi ya VAT inavyokokotolewa kutokana na mapato.
Kama 410,645,000 ni mapato ya jumla, basi yanajunuisha kodi ya 18% ya VAT.
Kama ni hivyo, mapato halisi ya TFF bila VAT ni 410,645,000/1.18=348,004,237.29
Hapo unapata VAT ya serikali kuwa 62,640,762.71
Kaizari haja kosa kudai kodi yake.
 
Naona hujaelewa kodi ya VAT inavyokokotolewa kutokana na mapato.
Kama 410,645,000 ni mapato ya jumla, basi yanajunuisha kodi ya 18% ya VAT.
Kama ni hivyo, mapato halisi ya TFF bila VAT ni 410,645,000/1.18=348,004,237.29
Hapo unapata VAT ya serikali kuwa 62,640,762.71
Kaizari haja kosa kudai kodi yake.
Ukokotozi uko sawa na ninakubaliana na wewe ila sikubaliani na utaratibu wa kulipwa/kukusanywa. Kama mlipaji ni TFF hii ni kodi yake ya kwenye mauzo ya mwezi wa 4 na anatakiwa ailipe mwezi wa 5 kwa kutoa kodi aliyolipa kwenye manunuzi mwezi wote wa 4.
 
Ukokotozi uko sawa na ninakubaliana na wewe ila sikubaliani na utaratibu wa kulipwa/kukusanywa. Kama mlipaji ni TFF hii ni kodi yake ya kwenye mauzo ya mwezi wa 4 na anatakiwa ailipe mwezi wa 5 kwa kutoa kodi aliyolipa kwenye manunuzi mwezi wote wa 4.
Nadhani umeshindwa kuelewa kuwa taarifa aliyotoa TFF ni kuwa katika garama za mchezo huo kuna VAT hivo haimaanishi kwamba tayari TFF wameshapeleka pesa hiyo TRA au la na hata wakipeleka hakuna shida yoyote sababu ni pesa ya serikali na hata ikiwa mwisho wa mwezi bado pesa hiyo hiyo watapeleka kwenye makato ya mchezo huo hivo sioni tatio lolote na hapo hakuna wizi wowote ule.
 
Nadhani umeshindwa kuelewa kuwa taarifa aliyotoa TFF ni kuwa katika garama za mchezo huo kuna VAT hivo haimaanishi kwamba tayari TFF wameshapeleka pesa hiyo TRA au la na hata wakipeleka hakuna shida yoyote sababu ni pesa ya serikali na hata ikiwa mwisho wa mwezi bado pesa hiyo hiyo watapeleka kwenye makato ya mchezo huo hivo sioni tatio lolote na hapo hakuna wizi wowote ule.
Naomba nirudie kusema kodi inatozwa na kulipwa kwa mjibu wa sheria na utaratibu. Kama umefuatwa sawa; kama haujafuatwa ni wizi
 
Naomba nirudie kusema kodi inatozwa na kulipwa kwa mjibu wa sheria na utaratibu. Kama umefuatwa sawa; kama haujafuatwa ni wizi
labda utusaidie nasi kuelewa huo wizi wa TRA hapo maana taratibu navyoelewa tff ni wakala wa kukusanya na mwisho anatakiwa kuziwasilisha tra.
 
FuJO_McWAAQfJus

Kwa kawaida mlipa kodi aliyesajiriwa kwenye VAT hutakiwa kulipa au kudai kurejeshewa tofauti ya kodi kwenye mauzo na kodi kwenye manunuzi kutegemeana na ukokotozi. Kwa taarifa hii ya TFF inaelekea TRA imechuka 18 % mapato yote ya mchezo wa siku husika. Kwa maoni yangu hii ni kinyume cha sheria ya VAT. Kama siko sahihi naomba usaidizi. Kama niko sahihi TRA wanaibia TFF na vilabu
Umekosea kidogo mkuu.Watakapo peleka return watapunguziwa kama wana deference.kitu ambacho sidhani sana kutokea kwani TFF hawanunui service zozote za maana, kihivyo kusema kuna VAT ya ku_recover.

sema labda double taxation kwa sababu hao wote waliopokea mgao wanahitaji kulipa kodi ya mapato.

so serikali kuu itapata fedha zaidi ukiacha kama hakutakuwa na ukwepaji kodi
 
Umekosea kidogo mkuu.Watakapo peleka return watapunguziwa kama wana deference.kitu ambacho sidhani sana kutokea kwani TFF hawanunui service zozote za maana, kihivyo kusema kuna VAT ya ku_recover.

sema labda double taxation kwa sababu hao wote waliopokea mgao wanahitaji kulipa kodi ya mapato.

so serikali kuu itapata fedha zaidi ukiacha kama hakutakuwa na ukwepaji kodi
tff katika kujiendesha kuna garama ambazo inaingia na moja wapo ni manunuzi ya umeme na matengenezo ya magari ya tff n.k. zote hizo ni garama na kama kuna huduma zingine walipata tff na zinachajiwa vat basi wakiwasilisha taarifa ( file returns) TRA wataweka. nachojua vat anayelipa ni mlaji wa mwisho aliyetumia huduma au bidhaa.tff yeye kakusanya tu hata angekuwa kakusanya ngapi siyo pesa yake yeye ni wakala na hata kama hana garama aliyoingia hawezi athirika sababu siyo pesa yake aliyotumia.
 
labda utusaidie nasi kuelewa huo wizi wa TRA hapo maana taratibu navyoelewa tff ni wakala wa kukusanya na mwisho anatakiwa kuziwasilisha tra.
Ukiianglia kwenye taarifa kama malipo mengine je wamelipwa au imeonyeshwa tu kwamba wamelipwa? Kwa ninavyoelewa hela ya mpira huwa inalipwa siku au kesho baada ya mchezo- labda waje watupe ufafanunizi ila kwa jinsi ilivyo huu ulipaji wa VAT umekiuka sheria na utaratibu
 
Umekosea kidogo mkuu.Watakapo peleka return watapunguziwa kama wana deference.kitu ambacho sidhani sana kutokea kwani TFF hawanunui service zozote za maana, kihivyo kusema kuna VAT ya ku_recover.

sema labda double taxation kwa sababu hao wote waliopokea mgao wanahitaji kulipa kodi ya mapato.

so serikali kuu itapata fedha zaidi ukiacha kama hakutakuwa na ukwepaji kodi
Mkuu inawezekana uko sahihi ila nina wasiwasi sana kuwa TRA watakuwa wameichukua hiyo hela yote kama ilivyo- labda waje waseme humu nini has hutokea na pia waseme kama TFF ni VAT registered
 
Ukiianglia kwenye taarifa kama malipo mengine je wamelipwa au imeonyeshwa tu kwamba wamelipwa? Kwa ninavyoelewa hela ya mpira huwa inalipwa siku au kesho baada ya mchezo- labda waje watupe ufafanunizi ila kwa jinsi ilivyo huu ulipaji wa VAT umekiuka sheria na utaratibu

Nadhani wewe ndiyo unapaswa utusaidie maaana TFF alichoweka wazi kuwa kuna malipo yanakwenda wapi na wapi na malipo mengine ni VAT sasa kwa kutaja vat je kuna sehemu walisema au wamesema wameshalipa? na kama ndiyo je sheria ya TRA inakataza? j
 
tff katika kujiendesha kuna garama ambazo inaingia na moja wapo ni manunuzi ya umeme na matengenezo ya magari ya tff n.k. zote hizo ni garama na kama kuna huduma zingine walipata tff na zinachajiwa vat basi wakiwasilisha taarifa ( file returns) TRA wataweka. nachojua vat anayelipa ni mlaji wa mwisho aliyetumia huduma au bidhaa.tff yeye kakusanya tu hata angekuwa kakusanya ngapi siyo pesa yake yeye ni wakala na hata kama hana garama aliyoingia hawezi athirika sababu siyo pesa yake aliyotumia.
okay nimekupata vizuri hapa inamaanisha hiyo VAT iliyoko kwenye bei ya ticket.yaani kila aliyenunua Ticket amelipa na VAT,ndiyo hiyo inayowasilishwa TRA.

kwa kuwa tff wameuza tickets.So kama kuna input VAT katika gharama alizoingia tff kwenye malipo ya maandalizi ya tickets inabidi ku-net off atakapo kuwa anafile VAT returns

Mambo ya kodi ni kizungumkuti.
 
Nadhani wewe ndiyo unapaswa utusaidie maaana TFF alichoweka wazi kuwa kuna malipo yanakwenda wapi na wapi na malipo mengine ni VAT sasa kwa kutaja vat je kuna sehemu walisema au wamesema wameshalipa? na kama ndiyo je sheria ya TRA inakataza? j
Mkuu nimesema haya kwa sababu ya uzoefu. Naomba ujiulize jambo moja hizo tiketi zilizouzwa zilikuwa na VAT? Yaani mtu aliyeinunua hiyo ticket anaweza kuclaim kwenye return zake kama ni VAT registered entity? Ukipata jibu positive you have a good case
 
huwei
Mkuu nimesema haya kwa sababu ya uzoefu. Naomba ujiulize jambo moja hizo tiketi zilizouzwa zilikuwa na VAT? Yaani mtu aliyeinunua hiyo ticket anaweza kuclaim kwenye return zake kama ni VAT registered entity? Ukipata jibu positive you have a good case

Huwezi claim sababu umekwenda kuangalia mpira na mambo yako binafsi na siyo biashara yako hiyo. Ni sawasawa na ofisini umepewa pesa ya kazi ni lazima ofisi waone ushahidi wa matumizi na umepewa mshahara wako hapo hakuna atakayekuuliza umetumiaje. Mpira ni mambo yako binafsi hayahusiani na biashara unayofanya. Ni sawa sawa tu kama umekwenda bar kunywa huwezi peleka tra claim ya vat.
 
huwei


Huwezi claim sababu umekwenda kuangalia mpira na mambo yako binafsi na siyo biashara yako hiyo. Ni sawasawa na ofisini umepewa pesa ya kazi ni lazima ofisi waone ushahidi wa matumizi na umepewa mshahara wako hapo hakuna atakayekuuliza umetumiaje. Mpira ni mambo yako binafsi hayahusiani na biashara unayofanya. Ni sawa sawa tu kama umekwenda bar kunywa huwezi peleka tra claim ya vat.
Mkuu kwa akili yako entertainment siyo sehemu ya biashara yangu?
 
Back
Top Bottom