Mwana Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 652
- 562
Tangu juzi hapa TRA Arusha huduma ya kuprocess Driving licence kitengo cha kupiga picha na finger print hakitoi huduma yoyote licha ya wateja kuwa kwenye msururu bila kupata huduma yoyote. Leo ni siku ya tatu na kisingizio kinachotolewa ni kwamba eti MTANDAO HAMNA.
Watanzania wenye akili hawawezi kuamini wala haingii akilini kusitisha huduma kwa siku 3 kwa kisingizio cha kutokuwepo kwa mtandao. Habari za kuaminika zinasema kuna ka mgomo baridi na suala la mtandao ni kisingizio tu. Na ikithibitika kuwa si mgomo ni mtandao kweli basi hii itamhusu sana huyu mama aliyepo kwenye hiki kitengo kwani kila mtu huwa anamlalamikia kwa jinsi alivyo na nyodo na kufanya kazi kama vile yuko nyumbani kwake.
Kuna wakati anawaona wateja kama omba omba wanaohitaji msaada kwake na hivyo huonyesha dharau bila kujua hao walipiga foleni ndo wanampa justification ya kupata kipato.
Kwa ufupi shughuli zote za upigaji picha na finger print kwa ajili ya Driving Licence hapa Arusha TRA zimekwama tangu juzi.
Watanzania wenye akili hawawezi kuamini wala haingii akilini kusitisha huduma kwa siku 3 kwa kisingizio cha kutokuwepo kwa mtandao. Habari za kuaminika zinasema kuna ka mgomo baridi na suala la mtandao ni kisingizio tu. Na ikithibitika kuwa si mgomo ni mtandao kweli basi hii itamhusu sana huyu mama aliyepo kwenye hiki kitengo kwani kila mtu huwa anamlalamikia kwa jinsi alivyo na nyodo na kufanya kazi kama vile yuko nyumbani kwake.
Kuna wakati anawaona wateja kama omba omba wanaohitaji msaada kwake na hivyo huonyesha dharau bila kujua hao walipiga foleni ndo wanampa justification ya kupata kipato.
Kwa ufupi shughuli zote za upigaji picha na finger print kwa ajili ya Driving Licence hapa Arusha TRA zimekwama tangu juzi.