Nashukuru mdau Kinyungu kwa taarifa!Walishafanya interview tangu tarehe 01/03/2012.
Mwenye taarifa za Tropical Pesticide Research Institute (TPRI) nafasi za mwezi December mwaka jana!
mkuu wale wasanii sana.walikuwa na kijana wao pale mtoto wa bosi ndio wamemuweka.wala tangaza nafasi na kufanya interview kama protocol au demokrasia.