ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,204
- 50,926
Hata Yanga ishinde hakuna itakapornda maana CR atashinda mechi ya Mwisho na Madeama Sasa mtaenda wapi? Mtapata hata sare na Al Ahly nyie? Mnao huo uwezo?Sidhani ndio nn kitu cha muhimu ni kupata ushindi hizo goli nne unazosema wewe zitapatikana kulingana na mazingira ya mchezo yatakavyokuwa ila muhimu ni ushindi point tatu huwezi jua ya mbele bado kundi lipowazi yeyote atapita