Hahahah, mkuu umenivunja mbavu haki ya mungu, sasa kaka funguo umezipata wapi? Kama unataka kumsaidia mwenyewe nenda TRA na registration no hiyo watakwambia nani mwenye gari. Litunze na tangaza sehemu mbali mbali utapata tu ufumbuzi.
Nauza TOYOTA Vtz ,rangi ya kijani yenye namba T 364 BFD. Nimeiokota imeletwa na maji ya maafriko.Haina kadi ya gani wala nn! bei maelewano. aliyekua tayari kuinunua aniPM.
Mkubwa! Rangi ya mafisadi ndiyo itainyima bei! Lakini labda Rejao,ritz,thatha,mzee na wale mabest wake kwani kuna atakaye jitokeza maana kuna tetesi ya kwmb wamekunywa maji ya bendera!
Huyu jamaa anatafuta tu njia ya kuadvataizi pleti namba za gari lake!! Vitz ya kijani umeionea wapi? Magari yote ya Kijani hapa TZ ni ya level ya juu...nafikiri reason unaijua!!!Mkubwa! Rangi ya mafisadi ndiyo itainyima bei! Lakini labda Rejao,ritz,thatha,mzee na wale mabest wake kwani kuna atakaye jitokeza maana kuna tetesi ya kwmb wamekunywa maji ya bendera!