freemoney
Senior Member
- May 21, 2012
- 109
- 6
toyota gx 100 inauzwa sh million 9 tu. Tuwasiliane 0716-369299
na suzuki swift kwa sh 7.5 million.................
Tuwasiliane mapem kwa aneye itaka. Pia kuna magari mengine yanauzwa
suzuki swift kwa 7.5 million
View attachment 56370
gx 100 kwa 9 illion tu
View attachment 56369
pia kuna gx 100 mpya kabisa kwa 12 million
View attachment 56371
View attachment 56372
Mkuu sijapendezwa na wewe kufanyia udalali gari yangu.... Ningekuwa nataka dalali ningesema au ningepeleka kwa madalali.
Ulinnipigia simu na number hii hii ukaniuliza kama ipo na bei sasa naona umekuja kuiweka hapa na umeweka cha juu 1m, kumbuka hizi picha ni mimi nimeweka hapa jamii na bei yangu ni 11m sasa wewe umepata wapi kibali cha kufanyia udalali gari yangu
gx 100 cresta t 413 caa ni mali yangu please naomba utoe hii mali yangu kwenye tangazo lako.
Asante.
its not like dat bt kulikua na miss understanding dats why
Sijui nimwamini nani kati ya lali na mwenye mali. Mmoja wapo lazima atakuwa tapeli. Ngastuka!
Dah! watu wana roho ngumu, alijua dili aje kutangaza JF kumbe mwenye mali ni mkongwe wa JF!..askuharibie jina jirani!
its not like dat bt kulikua na miss understanding dats why