Tracy,
Pole na poleni...kwa bahati mbaya wanaume wengi tunaendeleza tabia mbovu ya wanaume wa kiafrika "halisi". Mwanamke kuonekana ni tambara bovu, zulia.
Lakini jamii zinabadilika, usichoke kuelimisha. Hata kama itachukua muda, watu watabadilika.
Lakini pia kuna msemo unaoendana na uhuru wa mawazo na kusema mtu akitakacho...unasema hivi...ukifungua mlango, sio hewa nzuri tu pekee iingiayo, bali pia mbu na nzi.
kwa hiyo wengine hawapimi kuwa wamezaliwa na mwanamke au ana mke,dada au binti. wanafyatua tu.
thread yeyote ikiandikwa vizuri, kwa mpangilio wa maneno ya staha na hoja basi kila mtu atajisikia kuchangia bila kuhisi kudhalilishwa.
Pole na poleni...kwa bahati mbaya wanaume wengi tunaendeleza tabia mbovu ya wanaume wa kiafrika "halisi". Mwanamke kuonekana ni tambara bovu, zulia.
Lakini jamii zinabadilika, usichoke kuelimisha. Hata kama itachukua muda, watu watabadilika.
Lakini pia kuna msemo unaoendana na uhuru wa mawazo na kusema mtu akitakacho...unasema hivi...ukifungua mlango, sio hewa nzuri tu pekee iingiayo, bali pia mbu na nzi.
kwa hiyo wengine hawapimi kuwa wamezaliwa na mwanamke au ana mke,dada au binti. wanafyatua tu.
thread yeyote ikiandikwa vizuri, kwa mpangilio wa maneno ya staha na hoja basi kila mtu atajisikia kuchangia bila kuhisi kudhalilishwa.