Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Habari ya asbh wana JF. Binafsi naona thread za Bifu zinatupotezea muda sana. Unajua watu wengine hatuna interest za TID wala Hashim na U super star wao its none of our business, sasa watu wanapokuwa wanang'ang'ania thread inakaa muda mrefu sielewi. Kwa nini Msi-contribute in the first day or two or even third day? sasa tunasahau unakuta tena vinaanza. Kama ni kusikia wamesikia kurudia rudia hakusaidii. Sometimes kabla ya ku reply angalia wengine walisema nini nyuma utakuta walishaongea wewe unarudia tu.
Twende mbele na topic zingine.
Ni ushauri wangu binafsi.
Twende mbele na topic zingine.
Ni ushauri wangu binafsi.