Matatizo BoiMtoto (Kigurunyembe TTC 1999 -2001)
Grace Mboro weruweru 1996
11 Ntashimikilo Nyangata, muhitimu wa Ifunda Technical Sec School mwaka 1989Top ten wonderful names from Tanzania
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.
3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.
4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.
5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.
6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.
7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.
9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.
10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)
TUMBO RISASI, Aliyekuwa Mtangazaji wa RTD, Sahau Kambi, kipa wa Yanga 199011 Ntashimikilo Nyangata, muhitimu wa Ifunda Technical Sec School mwaka 1989
Kingunge Ngonbare Mwiru... Dahhh Ndo maana haapi kwa kitabu chochote kile cha dini...TUMBO RISASI, Aliyekuwa Mtangazaji wa RTD, Sahau Kambi, kipa wa Yanga 1990
huyu ndo alikua nani?Kutamka kwa mbinde