MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
huyu ni Hawa mwenye sifaa zote nimejitahidi samwaka jana alikubali,chakushangaza baadae aliingia mitini
Majuzi kaja tena kwa kasi mie nshaondoa fikra ila anaomba sana nimwelewe
Hawa huyu sijui alikua anasumbuliwa na woga au double standards..kwa kweli sielewe kwani hata hivyo alikua mbali sana nami
Je focus yake kweli inaweza kuwa na dhamira ya dhati
Akina hawa tupeane ushauri pia
Wenu Adam,
Majuzi kaja tena kwa kasi mie nshaondoa fikra ila anaomba sana nimwelewe
Hawa huyu sijui alikua anasumbuliwa na woga au double standards..kwa kweli sielewe kwani hata hivyo alikua mbali sana nami
Je focus yake kweli inaweza kuwa na dhamira ya dhati
Akina hawa tupeane ushauri pia
Wenu Adam,