jamesbond007
Member
- Jun 27, 2012
- 36
- 8
Licha ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwapora ardhi zao na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni pamoja na kuendelea kuuzingira kila upande Ukanda wa Ghaza, lakini Mahmoud Abbas, mashuhuri kwa jina la Abu Mazin, amekubali kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Meja Jenerali Shaul Mofaz. Mazungumzo hayo yamepangwa kufanyika kesho Jumapili, tarehe Mosi Julai. ila huku kwetu kutunaotawaliwa na wazayuni weusi(watanganyikaa) hawataki hata kusikiya mazungumzo na wanaodai haki nchi yao Zanzibar