KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Hadi leo, serikali ya Zambia imehamasisha mabenki yamepunguza cost of borrowing (kiwango cha kukopa) kama ifuatavyo:
Serikali ya SAta iko mbioni kuakikisha katiba mpya inatungwa tofauti na Tanzania ambako chama tawala kinapiga danadana swala la kariba.
Haya ni machache nilitaka ndugu zangu wa JF muyapate .
- Cavmont Bank from 20 to 16%
- Invest Trust and ZANACO banks from 19 to 15%
- Standard Chartered and Finance Bank from 19.5 to 15.5%
Serikali ya SAta iko mbioni kuakikisha katiba mpya inatungwa tofauti na Tanzania ambako chama tawala kinapiga danadana swala la kariba.
Haya ni machache nilitaka ndugu zangu wa JF muyapate .