Kuhusu hili swali me mwenyewe sina jibu kwa upande wa dini. But kibaiolojia kuoana au kufanya tendo la ndoa na mtu anayetofautiana naye umri mkubwa mf. Miaka 10. Lina athiri afya ya muhusika na mwenye umri mdogo atakuwa mdhaifu na mwenye umri mkubwa atajengeka kiafya na kuongeza siku zake za kuishi,
Mbona hii biology imechanganyikana na history!
Acha ushirikina wewe!!
Huu ni upuuzi kabisa..wapi ushahidi wa kiscience?
Madhara kiscience yanatokea kama mhusika yuko katika umri mdogo kwamba hajamaliza kukua. Mwanamke wa miaka 25 akiolewa na mwanaume wa miaka 50 and vice versa hakuna athari kama hiyo unayoisema maana viungo vya uzazi vimeshakomaa.Hakuna mtu anapoteza na mwingine kupata wakati wakujamiiana.Madaktari watatusaidia kutoa jibu sahihi zaidi.Hili swala ni la ki-scince" pia utafiti uliyofanyika ktk nchi za Ulaya umeonesha kuwa watu wenye umri mdogo waliolewa na wenye umri mkubwa wameathika kiafya yaani ktk mfumo wa uzazi" KAMA KUNA MTU ANAUFAHAMU KUHUSU SWALA HILI KI-SCINCE atusaidie make ubishi umezidi"
Ndugu mipango yangu ni kuoa mwakani 2011. Yeye atamaliza chuo 2013Mke mwema hutoka kwa bwana
Mvumilie amalize chuo
Kuna binti nimekuwa namfuatilia kwa muda wa miezi sita. Jana nimefanikiwa kuongea nae nimegundua mambo mawili yanayonitatiza.
1. Amenizidi mwaka mmoja.
2. Ndio anaenda kuanza chuo mwaka wa kwanza.
Mipango yangu
1. Kupata mwanamke niliyemzidi umri angalau miaka mitatu.
2. Awe angalau amemaliza digrii.
3. Mipango yangu toka kitambo nikuoa mwakani 2011.
Naombeni ushauri wenu
Tausi asante. Binti ana 30 years na mie 29. Na inabidi asome three years. Hapa inakuwaje kwenye uzazi? Ushauri wako plzMwaka mmoja unakutisha? Ushamskia Demi Moore? Uliza partner wake ana umri gani au wamepishana miaka mingapi.Suala la umri litizamwe kwa misingi ya kuzaa watoto.Kama umri wake umo within range ya kuzaa ( kuzaa ni majaaliwa) basi usiwe na wasiwasi hivyo, huo mwaka mmoja hauna athari.
Ndugu unajua hapa napambana na mipango niliyojiwekea otherwise sina tabuTafuta mwingine au badilisha masharti yako kijana.... Kuwa umri na chuo vina tija kwenye ndoa? Kama ni ndiyo basi wasio na elimu wasingeolewa na kudumu kwenye ndoa... Be flexible
Tausi asante. Binti ana 30 years na mie 29. Na inabidi asome three years. Hapa inakuwaje kwenye uzazi? Ushauri wako plz
Nidanganye ili inisaidie nini sasa?halafu ww muongo 30 years old ndio anaanza chuo?mbona kachelewa alikua wapi?