duh . . . .
Mambo Konie!, nilidondoka na swali la pure humu nikajua nimekufikisha mahali pako, sijui uliliona au ulilikimbia...
Kunamambo mengi sana yanayodhihirisha hiyo hali., mkuu Judgement kajaribu kuyaainisha baadhi...
Nakusalimu mkuu, kunawengine pia wake zao wapo huku, anaweza akasaidia mkewe kutongozwa pia, we have to be so carefully on that..
siku zinavyozidi kwenda watu wanakuwa wote sawa tuu kwasababu mtu anatoa thread nzuri tuu na ni kwanianzuri but utashangaamajibu atakyopewa matusi, madongo, maneno ya shombo tuu kwamfano mtu anataka ushauri ila sasa majibu ya hapo mara ooh kwan hapa angaza, nenda kwa mamateri kumbe ni sisi baadhi ya wanajf ndo tunaharibu. Remember jf is the home of great thinkers means we cn think beyond the normal thinking of the others. So ndo hivyo
Mh km wewe
1.thread nyingi za kipuuzi
2.watu wanacomment nonesence kwenye vi2 criaz
3.utoto mwingi
4.thread yako
"Mh km wewe" ndio nini?nawe pia fb generation.Mh km wewe
1.Thread za kijinga.
Ongeza nyingine.....
"Mh km wewe" ndio nini?nawe pia fb generation.
... BAGAH yupo Mtalingolo....sema alikuwa shamba siunajua mambo ya weekend....Vipi Mbeya pamekaaje?Ngoja nitamwambia akutafute kabla ya match ya mchanaBro vp BAGAH kabanwa nanini mbona simtii machoni sikuhzi.?
Hujambo maprosoo?Nakusalimia beibe nasty
hako ka red hako!!!!1.thread nyingi za kipuuzi
2.watu wanacomment nonesence kwenye vi2 criaz
3.utoto mwingi
4.thread yako