emaJenerali
Member
- Mar 7, 2014
- 11
- 1
Kwani huyo mama anataka nini, sijamwelewa vile?
....Karibu sana mkuu jamii forums zaidi ya darasa!!!
ctaki kuamini ninayoyaona kwenye hyo picha ni kile chama changu kinachoongozwa na mshua
Nimekubali kweli jf ni zaidi darasa mkuu!..
Kaombe kigodoro cha kukeshea Ufipa
Huyu si ni Manka wa Tengeru?.....
ha ha ha ha...asante ndugu MINGOI...shuka nitaenda kuomba lumumba....
Huyu si ni Manka wa Tengeru?
Haa inatosha inatosha - wa upande wa kulia hao
Angekuja na huku basi - wa upande wa kushoto (kimoyomoyo)
Aendelee kutuburudisha - wa katikati hapo mstarini (nao kimoyomoyo pia)
....Hapana ni kitu ya Twanga pepeta !!!!
vuta kumbukumbu......
Maswala ya PM sijui kama usalama ulikuwepo baada ya kikao...wamemtolea mate sijuwi kama alisalimika !!!!
Mbona anafanana na mama Junior?
Maswala ya PM sijui kama usalama ulikuwepo baada ya kikao
Daah! Hawana adabu hao wanaotazama makalio.