Mama Brian
JF-Expert Member
- Feb 7, 2010
- 320
- 21
Hii thread imefikia mahala kama siielewi hivi!...natumia energy kubwa sana kuisoma
Teamo, inabidi uielewe tu kwa nguvu zote manake wewe ndo muanzishaji wa mada hii, tena itabidi ufuatilie mpaka uone mwisho wake, na watu wameipenda haswa naona hata haiishi, teh teh pole na hongera!