duhhhhh bado tu ...
haya upendo wa Mungu uwe pamoja nanyi ...
siku mwema..
AD,
Is this that you wanted to say dear?
Somehow I feel like u have more that this
Let us now jamani....
hahahahaha lol
oohh dear i said enough yesterday
so im not gona say anymore im just gona LOVE
hahahahahah lol i think one day you told me
Action speaks louder than words..... mmmmhh
I dont care if people love me or not ..yeah, so u gonna LOVE and LOVE and LOVE again? mmh
that, thru action,,,
I dont care if people love me or not ..
I'm just gonna love them for nothing ...
Live well-Laugh often-love much
AD..
hahahahahah lol
sasa mzima lakini weye?
dahhh mi nlizani umekoroma
saa hizi lol. au bado una gawa Upendo??
Hahahshhah lolAD,
Ukiweza kufanya hivyo hata kwa 75% basi jihesabu kwamba umeshapona matatizo ya kijinga jinga na magonjwa ya hatari kama stroke na BP!
We extension kebo
Siku hizi naona hata hiyo SEX/SEXUAL INTERCOURSE kuonekana kama moja kati ya vichocheo vya mapenzi imeshachuja sana. Badala yake imebaki tu kuwa SEX as SEX
Lizzy darling.................................
Naamini mimi na wewe tumemwelewa mfalme wa amani kwa upeo mmoja. Teamo anazungumzia upendo in general, lakini wengine wamekonsetreit na upendo wa mapenzi ya kulalana kitandani.
Kizazi hiki, ngono ni somo kuu, halikwepeki!
Dah!!! Mjukuu well saidTeamo
Hili swali ni gumu kusema ukweli. Katika muda wote niliokaa mie kwenye hiki chumba kiitwacho mapenzi nadhani ni afadhali ukaconcentrate kwenye kulove than to feel loved ........kwa sababu ukiangalia maudhi, vyanzo vyote vya matatizo katika mahusiano utaona yanatokea baada ya mtu ku-critically analyze kama anapendwa au lah............
.ukiigundua kuwa mwenzako hakurespect unaconclude kuwa - you are not being loved
Ukigundua mwenzio anacheat (hata kama ni kwa bahati mbaya!)- Unaconclude kuwa you are not being loved
Ukigundua mwenzio kakukosea kidogo/ hajatimiza majukumu yake - unakimbilia you are not being loved
To me I think it is better to feel love than feel loved, to give than receive.
Naona umeamua kutafuta vi apetaiza hahahahamuzee unayakumbukia masredi ya zamani eeh!..?
ngoja leo niangalie namna ya kuchangamsha jamvi
<br />muzee unayakumbukia masredi ya zamani eeh!..?<br />
<br />
ngoja leo niangalie namna ya kuchangamsha jamvi
Afadhal now u are open. If it happens u have loved to the extent of not being encouraged to go on loving ,then change the way u exercise love to her ,but never ever act like an enemy. An effective method for u is not clinging any more neither giving up. Waswahil tunasema mpotezee kiduchu, mchukulie kawaida sana kama wengine tu. Kama ulikuwa unamfanyia vitu fulani vizuri punguza au acha kabisa. Kama akiwepo katika kundi na kawaida ilikuwa ni ww kwenda kumsalimia basi msalimie lakin kama wengine wote na usifanye cha ziada ,make sure she notices the difference ,akikuuliza mwambie tatizo but u have something more important to do or even think about and show your stand ,do not think of losing her coz u have not yet gotten her. Kwa mtazamo wangu kumpenda ambaye hamjachangia damu ni lazima awe na positive effect to your life.NIMEKUELEWA VIZURI sana hapo sipiyuu....! swali langu la msingi sasa: IF I LOVE SOMEONE.....AND NOT FEEL LOVED BY HIME/HER(certainly he/she doesn't love me),yet I HAVE DONE ENOUGH TO PROVE MY LOVE TO HIME/HER WITHOUT HIM/HER SHOW/LOVE ME BACK(i gave somebody my love,my body,my soul,my trust lakini yeye hata hajali kabisa).....!what do i do? a)keep on going through the hell? b)give up? c)none of the above?