Times of Israel: Edward Lowassa is a reformer, partriot and a successful businessman

Sema humchagui wewe. Unaposema hatumchagui una maana wewe pamoja na mimi! Mimi lazima nitampigia kura!

mpigie magufuli bana,lowasa ni shida pale,mtarudi kulalama humu jf wiki ya pili tu iwapo lowasa ndo atakamata madaraka,hafai
 
Hili gazeti linaheshimika duniani kote.... Ukiona wameandika habari za Lowassa basi jua Lowassa ndio Rais mtarajiwa
 
UKAWA ferrying masses from Arusha and Moshi? Are you serious?
Well, then those two towns have a lot of people combined!
Pole!

Are you surprised or trying to act surprised? Thats not news, whats news is you supporters aren`t aware of that.
 
I had liked that observation of the West that this year's election in TZ will be the closest ever in our continent!

CNN will have special report for Africa this month. Among the countries they will be in TZ is one of them. This is not a coincidence they want to live the story post election.
 
Sasa kumbe wewe ni mbuzi. Nimekaa muda wote nazijibu post zako za kipuuzi kistaarabu halafu unaanza maneno ya ovyo? Sasa Mimi unanifahamu ni nani? Nikiibuka hapa na tuhuma za kipuuzi kama zako halafu Nikasema mimi ndie source, mtaniona nina akili kweli? Au ulitaka Nikuelewe vipi? Hebu toka hapa, potelea mbali kabisa. Huwa sijibishani na wapumbavu.

Peleka taarabu huko. ESCROW WEWE
 
First let me tell you one thing! Hapa watu wakiona ni habari kutoka News of Israel wanaweza kuhisi ni big news! Huyo mwandishi anayeitwa anayeitwa Joel Moskowitz linapokuja suala la media ni blogger tu wa kawaida kama bloggers wengi waliojaa hapa Dar es salaam! Na kwenye hilo eneo la blogging, isn't successful at all... Mange Kimambi or even Le Metuz is far better than Joel Moskowitz when it comes to blogging! Kwahiyo, kwanza si kwamba hii habari inatoka kwa professional media person, NO bali inatoka kwa mtu sawa na mimi au wengie wetu jumu jamvini ambao tuna mahaba na vyama au watu fulani!!!

In addition, Joel Moskowitz si kwamba anaifahamu vizuri Tanzania bali anayafahamu baadhi ya maeneo kwavile ni mfanyabiashara na mishe zake huwa anazifanya hata Tanzania. Itoshe tu kusema kwamba, hii sio habari yake ya kwanza kumpamba Edward Lowassa!

Amenifurahisha kitu kimoja, anamfahamu Lowassa vizuri. Na hasa kipengele ambacho wengi humu nchini hawakiandiki ni kuwa Lowassa hatakubali biashara mbuzi na wazungu. Hata mnyenyekea mtu inapokuja kwenye biashara.
 
Good analysis ,, Keep it up folks

The country is for Lowassa 25/oct early in the morning...
 
he is a reformer who cannot be bought. He is a patriot who seeks to negotiate better and fairer terms for his country from foreign investors.

Hapa ni kweli 100%
 
Ukiniita haikusaidii kitu, unapoteza muda wako. Labda ungeanza kutueleza kwanza kuwa ni kwanini unapenda mavi? Mara nyingi watu wenye kuzungumzia mavi muda mwingi, huwa wana asili fulani ya vitabia ambavyo jamii huwafanya watengwe; huwa ni mashoga, wehu, wenye tabia ya kujiharishia na mahanithi. Uko kundi gani? Au utaniita tena mavi?
Siku njema

Nafikiri umeshidwa kuelewa kwa sababu elimu uliyo soma imevurugwa na sisiem ili waendelee kukutawala
 
Xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
 
Amenifurahisha kitu kimoja, anamfahamu Lowassa vizuri. Na hasa kipengele ambacho wengi humu nchini hawakiandiki ni kuwa Lowassa hatakubali biashara mbuzi na wazungu. Hata mnyenyekea mtu inapokuja kwenye biashara.

Magufuli hajui Biashara....Ukimuuliza bei ya excavator ndo maana ujenzi wa barabara zetu za lane mbili ni bei sawa na gharama ya lane nne china. Ukimuuliza bei jamaa atabaki kusema ni "Dora raki mbiri sitini erfu" . Alafu inabidi ajifunze kuongea lugha yetu ya nyumbani maana hajui tofauti ya "r na l"
 
Hili gazeti linaheshimika duniani kote.... Ukiona wameandika habari za Lowassa basi jua Lowassa ndio Rais mtarajiwa

Huyo ni mchangiaji tu alieandika makala yake mwenyewe ambayo gazeti haina dhamana ya maudhui yake blah blah n.k Na kuna uwezekano ikawa imesambazwa kwenye viblogu vya kijanja ili kuzubaisha wabongo, bahati mbaya hawakujua kuna watu wenye akili kati ya wabongo. Ukawa watataga mwaka huu.
 
Back
Top Bottom