Kama uko akilini mwangu, yani nina dili na mtu ka mil nne, mda tuliopanga kukutana saa nne, kupiga sm hamna kitu, nimehangaika ka mara 49 bila!jamani tigo wateja wamekuwa wengi msiwe kama serikali ya magamba, nyie ni kula bila kujali huduma ikoje kiubora!shauri yenu!mnatuboa!msipoangalia mtakimbiwa!reputation yenu inaharibika taratibu taratibu!!!!!!!!
Yaaaaaaaani tigo sheeeeeeeeeeeeeeeeeeeenzi sana tangu saa nne hakuna network mpaka saa nane , mmeharibu michongo yangu yote yaone hata kuumba radhi hayajui , mnaendesha kampuni hovyo hovyo utazani chama cha ccm, ebo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.