Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Jamaa mmoja mwenye kipara alikwenda kwa mganga ili apewe dawa ya kuotesha nywele kipara chake. Mganga akamuuliza kama ana mke, jamaa akakubali. Basi mganga akamwambia dawa yake ni kusugua ule upara kwenye k*m* ya mke wake kwa siku 3. Jamaa kusikia vile akadharau na kumwona mganga ni mwongo kwa maana kwamba kama hiyo ingekuwa dawa mb*o ingekuwa na afro.