Sawa mkuu wangu, ndio maana nikasema kuwa wewe fikiria kama vile hii joke ni ya miaka 20 mbele, au unaonaje...!? aha ha ha, haya mkuu, siku njema.Naaaaaaah! I assure you bro that I am not scared, but IMHO it is not appropriate to use Mandela's name in that joke.
Have a great weekend Bro