Threat?: Kim Threatens "Firm Action" Against US Sanctions

Hahaha... Ndo nnachowapendea wazungu hapo tu ukijifanya jeuri wanakubinya kimyakimya. Mwangalie Duterte sasa hv kimyaaa, kaleta kidomodomo kapelekewa ISIS sasa hv mashauzi yote kwishney. Sasa dogo alikua anasema vikwazo haviumizi sasa povu la nini. Ngoja na mjapan aunge tera.
Naona Japan nao wanataka THAAD huku South korea wakitaka THAAD nyingine pia ziongezwe. Hili picha naona linaelekea kuisha soooon.


Whaaat!, Mjapan nae anataka THAAD?
Tehe!, Teh!, hii Shughuli inakaribia kuiva hii..

Haha, siamini Durtete mashauzi kwishney.
Hawa watu inabidi kwenda nao kwa akili, ama sivyo wanakumaliza kweupee!
Dogo kwa upande mwingine anakingwa na cousins wake wa South na Japan.
Isingekuwa hivyo labda tungekuwa tunaongea mengine saa hii...

Cc Rais wa team kiduku fundi25
Na team Kiduku kwa ujumla.
 
Tatizo hujui unachoandika! NK ni 3rd WC wanachobumbua leo America inacho more than 50yrs.
Jiulize kwanini Russia kakaa kimya humsikii sana akivamia nchi za East Europe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU mzigo husika unabebeka bila matatizo mbona kitambo sana! Tatizo lilikuwa hauwezi kupelekwa masafa ya mbali japo Korea ya kusini na Japan unafika! Sasa keshafaulu kupeleka mzigo kokote kule duniani!
Ndio maana hata marekani keshakuwa mpole na keshaanza kupotezea!


Kama ni hivi basi we should expect something soon. Na hizo ICBM za juzi zinazokadiriwa kufika mpaka Chicago, wanaweza wasikae kimya muda mrefu ukizingatia na haya mapovu ya Dogo.
 
Wajinga ndio waliwao! Anachotaka marekani ni kuwauzia Japan na Korea kusini hizo THAAD! Wala hazina uhakika wa kuzuia missile kwenye mazingira halisi ya kivita!

Mbinguni kwetu what do you mean?!
Hata kama itakuwa katika mazingira ya kivita, wakimlia timing wanaweza ku intercept hizo missile. Uzuri ni kwamba wanamsoma tu sasa, ile test yake ya majuzi (not recent)
Walimsoma for almost an hour, tokea wanabeba hayo mavyombo mpaka kwenye eneo, na kurusha.

mfc-thaad-info-web-page-intercepting-hr.jpg
 
Kim ni hatari....mzee wa Panki..

Napenda Kim angekuwa timu moja na V. Putin!!

USA angetulia miaka 50 kwanza.

JPM KAMATA WEZI
Sema mbona akuna hata waandamanaji wenye mabango ya kuponda wizi wa madini yetu hata chama chake kipo kimya au wanaandamana tu wanaposikia jpm kakamata mpinzani ILIBIDI WATZ WOTE TUANDAMANE KUWAPINGA WEZI WA MAKINIKIA NA MADINI HADI CNN WATANGAZE DUNIA YOTE IJULIKANE NO THIEF FOR TZ ANYMORE
 


Mmepata jeuri ya kuongea kwa sababu mapipa yenu yanafika masafa sasa eeh!
Alijisemeaga Nankumene ana wasiwasi mzigo unaweza kuishia njiani...lol!

Nyie endeleeni tu ku mbore mawigi muone kama hajawatwanga mpaka muombe poo
Naona unauchungu kwa sababu peponi yenu inakalibia kupigwa na makombola ya nyukilia sijui wenye pepo watahubili nini kuwaambia waumini habari za maombi ya kupata viza ya USA mana makanisani sikuizi pepo ni kupata viza ya kuingia USA sasa kiduku anataka kuiteketeza USA mlio na ndugu usa jueni USA si salama tena KIDUKU NOOOMAA SANA
 
Whaaat!, Mjapan nae anataka THAAD?
Tehe!, Teh!, hii Shughuli inakaribia kuiva hii..

Haha, siamini Durtete mashauzi kwishney.
Hawa watu inabidi kwenda nao kwa akili, ama sivyo wanakumaliza kweupee!
Dogo kwa upande mwingine anakingwa na cousins wake wa South na Japan.
Isingekuwa hivyo labda tungekuwa tunaongea mengine saa hii...

Cc Rais wa team kiduku fundi25
Na team Kiduku kwa ujumla.
Wenzetu hawatumii nguvu ni akili tu sio km sis I huku akina Fenti Ford.
 
Naona unauchungu kwa sababu peponi yenu inakalibia kupigwa na makombola ya nyukilia sijui wenye pepo watahubili nini kuwaambia waumini habari za maombi ya kupata viza ya USA mana makanisani sikuizi pepo ni kupata viza ya kuingia USA sasa kiduku anataka kuiteketeza USA mlio na ndugu usa jueni USA si salama tena KIDUKU NOOOMAA SANA


lwiva Kiduku akisubutu kuwa beep na kutuma ule mzigo itaonekana kama suicide mission for Pyongyang.
Sipati picha watakavyo mjibu.
 
Whaaat!, Mjapan nae anataka THAAD?
Tehe!, Teh!, hii Shughuli inakaribia kuiva hii..

Haha, siamini Durtete mashauzi kwishney.
Hawa watu inabidi kwenda nao kwa akili, ama sivyo wanakumaliza kweupee!
Dogo kwa upande mwingine anakingwa na cousins wake wa South na Japan.
Isingekuwa hivyo labda tungekuwa tunaongea mengine saa hii...

Cc Rais wa team kiduku fundi25
Na team Kiduku kwa ujumla.
Marekani amesha sema hataki vita wala kumuondoa raisi wa north Korea marekani ameti mashari bila shuruti.
Serikali ya Marekani haitaki mabadiliko ya utawala Katika Korea Kaskazini, waziri wa mambo ya nje wa Marekani anasema, huku hofu ikitanda juu ya mpango wa silaha wa Pyongyang.

"Sisi si maadui zenu, " Rex Tillerson alisema, na kuongeza kuwa Marekani ilitaka mazungumzo wakati mmoja.

Wakati huo huo seneta wa chama chaRepublican alisema rais Trump alihisi kuanzavita na Korea kaskazini ni chaguo

Pyongyang inadai kuwa jaribio lake la hivikaribuni la makombora linaweza kushambuliamagharibi mwa Marekani na zaidi
Hatutaki mabadiliko ya utawala, hatulengi kuuangusha utawala, hatutaki kuharakishamuungano wa eneo la Peninsula, hatutaki sababu ya kutuma wanajeshi wetu kwenye eneo lenu ," alisema Bwana Tillerson,akimaanisha mpaka baina ya Korea kaskazinina Korea kusini.

"Sisi si maadui zenu, sisi si tisho kwenu.

North Korea tutajaribu jingine jumapili lazima tumchokonowe nyoka adi atoke kwenye shimo hizo ndege za marekani zitapishana na joto kali san huko angani zitayeyuka kama barafu huko huko angani wakati dude letu likielekea new York kufanya yake .
AMESEMA mkuu wa wakuu Kim !!!
 
lwiva Kiduku akisubutu kuwa beep na kutuma ule mzigo itaonekana kama suicide mission for Pyongyang.
Sipati picha watakavyo mjibu.
Kiduku anawanasanyansi hatari kutoka China na Russia na wanasayansi wa stahafu hodari kutoka nchi rafiki anayo makombola hatari ya kujilinda pia nchi yake hipo chini ya ardhi kiasi ni vigumu kushambulia kualibu mifumo ya kijeshi ya kiduku kiduku anazo siraha za kibaiologia hatari
 
Kiduku anawanasanyansi hatari kutoka China na Russia na wanasayansi wa stahafu hodari kutoka nchi rafiki anayo makombola hatari ya kujilinda pia nchi yake hipo chini ya ardhi kiasi ni vigumu kushambulia kualibu mifumo ya kijeshi ya kiduku kiduku anazo siraha za kibaiologia hatari

Kumbuka pia kuwa kama hii shughuli ipo atapigana na nchi zaidi ya moja.
 
Marekani amesha sema hataki vita wala kumuondoa raisi wa north Korea marekani ameti mashari bila shuruti.
Serikali ya Marekani haitaki mabadiliko ya utawala Katika Korea Kaskazini, waziri wa mambo ya nje wa Marekani anasema, huku hofu ikitanda juu ya mpango wa silaha wa Pyongyang.

"Sisi si maadui zenu, " Rex Tillerson alisema, na kuongeza kuwa Marekani ilitaka mazungumzo wakati mmoja.

Wakati huo huo seneta wa chama chaRepublican alisema rais Trump alihisi kuanzavita na Korea kaskazini ni chaguo

Pyongyang inadai kuwa jaribio lake la hivikaribuni la makombora linaweza kushambuliamagharibi mwa Marekani na zaidi
Hatutaki mabadiliko ya utawala, hatulengi kuuangusha utawala, hatutaki kuharakishamuungano wa eneo la Peninsula, hatutaki sababu ya kutuma wanajeshi wetu kwenye eneo lenu ," alisema Bwana Tillerson,akimaanisha mpaka baina ya Korea kaskazinina Korea kusini.

"Sisi si maadui zenu, sisi si tisho kwenu.

North Korea tutajaribu jingine jumapili lazima tumchokonowe nyoka adi atoke kwenye shimo hizo ndege za marekani zitapishana na joto kali san huko angani zitayeyuka kama barafu huko huko angani wakati dude letu likielekea new York kufanya yake .
AMESEMA mkuu wa wakuu Kim !!!


AApi4pr.img


Salamu za leo za Trump kwa Dogo wenu hizi. Na wao wamejaribu la kwao leo.

U.S. Test-Launches ICBM as Tensions Rise With North Korea
 
AApi4pr.img



Salamu za leo za Trump kwa Dogo wenu hizi. Na wao wamejaribu la kwao leo.

Linaonekana kuna mafuta yana vuja mahali angalia huo moshi kwa jicho la tatu utagundua hilo
Pia huwezi linganisha na ule mdude wa mkuu wa wakuu Kim !!
Haka ka Bi/ Trumpo kanaonekana kuna kitu kamekosa kwanza inawezekana ni aina ya fataki zinazotumika kuashiria jambo fulani huko mashariki ya kati!!! Na huko India!!
 
Linaonekana kuna mafuta yana vuja mahali angalia huo moshi kwa jicho la tatu utagundua hilo
Pia huwezi linganisha na ule mdude wa mkuu wa wakuu Kim !!
Haka ka Bi/ Trumpo kanaonekana kuna kitu kamekosa kwanza inawezekana ni aina ya fataki zinazotumika kuashiria jambo fulani huko mashariki ya kati!!! Na huko India!!



Mnaanza kuweweseka sasa Huh!..
Hii ni test tu, sasa shughuli yenyewe si ndo mtazimia kabisa..
Na bado!
 


Mnaanza kuweweseka sasa Huh!..
Hii ni test tu, sasa shughuli yenyewe si ndo mtazimia kabisa..
Na bado!
Hahahahaha mkuu kim ana rusha madude mazito huko hewani yeye Bi/Trumpo ana rusha vitu vinavyo sadikika kuwa ni fataki alafu anasema ana test ICBM si anazo tiari ana test ni !!!
Taarifa kutoka north Korea zinadai kuwa hiyo ni aina ya fataki zinazotumiwa kusherekea sherehe za kijeshi huko mshariki ya kati au yaweza kuwa fataki za kufukuza wingu la mvua!!!
 
Hahahahaha mkuu kim ana rusha madude mazito huko hewani yeye Bi/Trumpo ana rusha vitu vinavyo sadikika kuwa ni fataki alafu anasema ana test ICBM si anazo tiari ana test ni !!!
Taarifa kutoka north Korea zinadai kuwa hiyo ni aina ya fataki zinazotumiwa kusherekea sherehe za kijeshi huko mshariki ya kati au yaweza kuwa fataki za kufukuza wingu la mvua!!!


Wewe jitoe ufahamu tu hapa!
Lakini habari ndo hii hapa, na kilomita ndo hizo hapo..
 


Wewe jitoe ufahamu tu hapa!
Lakini habari ndo hii hapa, na kilomita ndo hizo hapo..
Tumewachia marekani wa test sisi tumesha maliza ku test sasa tume ya bebesha mizigo mizito kwa safari endapo tuta zinguliwa!
 
Mbinguni kwetu what do you mean?!
Hata kama itakuwa katika mazingira ya kivita, wakimlia timing wanaweza ku intercept hizo missile. Uzuri ni kwamba wanamsoma tu sasa, ile test yake ya majuzi (not recent)
Walimsoma for almost an hour, tokea wanabeba hayo mavyombo mpaka kwenye eneo, na kurusha.

View attachment 555873
Hawaku msom kim ratiba yake ipo wazi kila week alisem ata jaribu !!!
Kama walimsoma wambiye waliangushe likiwa huko hewani adi sasa marekani hajuwi haya mdudu makubwa ya maangamizi yana tengenezewa wapi hko north Korea marekani waliwahi kupiga mapicha ya satellite zikaonyesha watu wana cheza mpira wa kikapu!!!!
Hakuna ushahidi ambao marekani alisha toa kuwa hiyo mizigo ya kim kuwa ipo sehemu fulani huwa anasemga yawezekana limerushwa kutoka kutoka mji fulani Nalendwa, hushangai lile dude pale linaporushwa kunaonekana kuna miti lakini miti haitikisiki kwa upepo wa hilo dude pia mazingira hayasomeki!!!?
Yeye marekani hiyo fataki yake inaonekana ilivyopata shida kuruka na speed yake inaonekana haipo sawa kutokana na mawimbi ya moshi!!!!
 
Back
Top Bottom