Habari yote imekaa kufikilika tu, CCM haina lengo hilo na kamwe haitaweza kuwa na lengo kama hilo.
Hii haina maana kama hakuna baadhi ya Wanachama wake wenye mawazo kama hayo ya kutetea ufisadi at any cost, but at the end of day wataumbuka tu.
(font hizo kaka)
Unagombea Udiwani au Ubunge?. Labla uniambie kuwa na wewe una Insider information ambazo najua wana-CCM wengi hawana zaidi ya kundi la watu wachache sana wanaojiita KING MAKERS.