..mtoto anapokojolea msahafu, hekima ni kumpuuza tu.Views 3077 Replies 172
Walioiona hii thread Ni 3077 lakini waliojibu Ni 172! Kuna Jambo hapa nadhani CDM wengi wamezimia wako Kwenye ambulance wanakimbizwa Hospitali. Mwingine Karibu Maneno Mawili tu. "I doubt" naye kaishia. Mtaishia wengi siku mtakayosikia dr. Bunduki naye kaanza.
..kwa sababu ya Thomas Nyimbo? kwanza wengine ndo tunasikia leo kuwa alikuwa CDMMmezimika CDM wote mko ICUs poleni
Kwanza mimi sina chama,pili hao unaowaita mafisadi wa Moshi(madiwani),wamefanya ufisadi gani?Yani ndo mfano uliokuja nao huu?Na umesema unayo mifano mingi,nikakwambia taja mmoja,adn this is all you got?Sasa unafahamu matatizo uliyonayo wewe?
Mmezimika CDM wote mko ICUs poleni
Unaposema "Mmempokea Nyimbo" una maana gani?Ama una hamu ya kuongea na viongozi wa chadema na sasa unadhani mimi ni mmojawapo?Ama husomi unachokijibu?Despite your insistance kutoa mifano ya kifisadi na ukosefu wa utwala bora ndani ya CDM, nisingependa kuingia katika sakata la lack of morals za Katibu Mkuu wenu na jinsi familia hiyo inavyo benefit katika ruzuku na finances za CDM.
Mwenyekiti wa CDM is no better off, kwa kufanya biashara ya kukodisha/ kuuzia mali zake CDM ili kunufaika na transactions hizo.
Mkuu you know the details and dont beat round the bush, bottom line ni kwamba akitokea mtu kuonyesha madhambu/mapungufu ya CDM anapakwa matope utafikiri shetani.
Mzee Nyimbo mlimpokea wenyewe , leo kaonyesha uozo wa CDM basi anasmbiwa ni mzee wa kupenda vyeo, haambiliki n.k.
CDM will remain to be a party owned by business figures and fr business ends.
Mama D. Pole kwa mshituko. Bora wewe umeandika Maneno Mengi kidogo maana mwingine kaishia I doubt na kaishia Sasa sijui kazimia Au la.
You know very well what I am talking about.Unaposema "Mmempokea Nyimbo" una maana gani?Ama una hamu ya kuongea na viongozi wa chadema na sasa unadhani mimi ni mmojawapo?Ama husomi unachokijibu?
Pia kwasababu umefurahishwa sana na Nyimbo,unaweza kusema umangi meza aliouzungumzia ndiyo wewe unautafsiri hapa?Ama ulikuwa na mambo yako na umepata thread ya kuyatapika?Unamwekea maneno mdomoni,unamsaidia kutafsiri,ama ni wewe mwenyewe unaendeleza nyimbo zako?