This is too much....!

Ntu

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
951
552
Wakuu heshima kwenu nyote!

Nnamiliki gari aina ya chaser raffine; tatizo unapoliwasha huwa linawaka kama kawaida, ILA nnapotembea kama kilometer 10 au zaidi hivi na kulipaki, haliwaki tena angali taa za kwenye dashboard zinawaka! Then ukikaa baada muda mostly i guess baada ya engine kuonekana kama imepoa inawaka!!! Nmepeleka kwa fundi akafungua starter na kuirekebisha ila tatizo bado lipo palepale!!! Wakuu nijuzeni what will be the permanent solution, I'm realy tired of this....!!! Shukran kwenu wakuu.
 
Lipeleke kwa mafundi wa uhakika (gereji za kichina watakushauri) watakwambia kama haliwezekaniki uweze fikiria jinsi ya kupata gari jingine
 
Wakuu heshima kwenu nyote!

Nnamiliki gari aina ya chaser raffine; tatizo unapoliwasha huwa linawaka kama kawaida, ILA nnapotembea kama kilometer 10 au zaidi hivi na kulipaki, haliwaki tena angali taa za kwenye dashboard zinawaka! Then ukikaa baada muda mostly i guess baada ya engine kuonekana kama imepoa inawaka!!! Nmepeleka kwa fundi akafungua starter na kuirekebisha ila tatizo bado lipo palepale!!! Wakuu nijuzeni what will be the permanent solution, I'm realy tired of this....!!! Shukran kwenu wakuu.


Inaweza kuwa control Box jaribu kwenda kwa wataalamu wa umeme wanaojua sio wale wa kubadilisha indicator na kutest gari
 
Wakuu heshima kwenu nyote!

Nnamiliki gari aina ya chaser raffine; tatizo unapoliwasha huwa linawaka kama kawaida, ILA nnapotembea kama kilometer 10 au zaidi hivi na kulipaki, haliwaki tena angali taa za kwenye dashboard zinawaka! Then ukikaa baada muda mostly i guess baada ya engine kuonekana kama imepoa inawaka!!! Nmepeleka kwa fundi akafungua starter na kuirekebisha ila tatizo bado lipo palepale!!! Wakuu nijuzeni what will be the permanent solution, I'm realy tired of this....!!! Shukran kwenu wakuu.

Unapowasha gari - ni kuwa unachukua umeme kwenye betry unazungusha starter motor ambayo inazungusha flywheel, na flywheel inazungusha crankshaft ambayo inatembeza piston na hivyo engine ina start. Sasa kama una ka - ujanja kidogo tuu fatilia hiyo channel ujue tatizo liko wapi. Nini hakifanyikazi hapo.
For your case anza kubadilisha betry kwanza. Alafu uje na matokeo hapa.
 
  • Thanks
Reactions: Ntu
I had the same problem with my mark II, call 0765447803 for a solution
 
kwa suala la betri-delete hapo halipo kabisa..betri ikifa gari haliwaki na taa za dashboard zinafifia na kutowaka kabisa...tatizo hapo angalia jee geji ya heat vipi inapanda??inawezekana linachemsha or futa maelekezo mengine hapo juu but sio betri.
 
Wakuu heshima kwenu nyote!

Nnamiliki gari aina ya chaser raffine; tatizo unapoliwasha huwa linawaka kama kawaida, ILA nnapotembea kama kilometer 10 au zaidi hivi na kulipaki, haliwaki tena angali taa za kwenye dashboard zinawaka! Then ukikaa baada muda mostly i guess baada ya engine kuonekana kama imepoa inawaka!!! Nmepeleka kwa fundi akafungua starter na kuirekebisha ila tatizo bado lipo palepale!!! Wakuu nijuzeni what will be the permanent solution, I'm realy tired of this....!!! Shukran kwenu wakuu.

mkuu wala usipate tabu, nilikuwa na tatizo kama lako. Yaani gari ikiwa imoto haipigi, ikipowa inapiga. Hizo itakuwa BRUSH za SELF ZIMEKWISHA. Sasa tafuta fundi mzuri aifungue SELF akubadilishie BRUSH. Mimi ilinigharimu kama elf 20 tu, na huyo aloifungua alikua wala si fundi ni kijana tu mzoefu.
 
mkuu wala usipate tabu, nilikuwa na tatizo kama lako. Yaani gari ikiwa imoto haipigi, ikipowa inapiga. Hizo itakuwa BRUSH za SELF ZIMEKWISHA. Sasa tafuta fundi mzuri aifungue SELF akubadilishie BRUSH. Mimi ilinigharimu kama elf 20 tu, na huyo aloifungua alikua wala si fundi ni kijana tu mzoefu.

Asante SANA mkuu silent lion, ngoja niipeleke kwa fund flan anichekie/ abadilishe.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni serikali ya CCM ulioichagua ndo imekuingizia magari mabovu kwa 10% km kw!
 
Back
Top Bottom