This is Rostam I know... The Story Behind the Man


- Really? Rostam amesoma Oxford? Ipi hiyo na mwaka gani kwa wenye info zaidi tuhabarisheni, yaani unaona sasa ndio maana nilisema ameharibu sana kujitokeza Kempiski! Duh! vihiyo bwana, wakuu hebu wekeni dataz hapa tukawape wabunge wakamlipue bungeni ngoja kwanza nimshitue mbunge mmoja sasa hivi kumbe mkulu hakusoma shule!

Labda kasoma Oxford Brookes.. Oxford Uni I highly doubt. That Parliament is full con artists when it comes to academic qualifications as well... Trust me, I know.
 
mimi nionavyo.

1. RA ameamua kujivua gamba. It does not mean he is innocent; lakini pengine kelele nyingi zinazopigwa dhidi yake.
2. Kwa upande wake, ameshawajibika.
3. Endapo kuna m2 au serikali au taasisi inahisi kwamba RA ana makosa ya kujibu; wampeleke mahakamani.

Watu wangapi wameshindwa hata kujivua Gamba, tukianza na Freeman Aikaeli?
 
Mshikaji sio wa kumpima, alikua nondo kweli duh! Naimani ushawishi wake ndani ya chama utaendelea!
 
Mungu alisafiri akamwachia malaika gabriel kukaimu bila kukalia kiti chake.shetani akamdanganya akae kwenye kiti cha mungu (kiti cha enzi).naye akafanya hivyo akidhani kwamba atakuwa na nguvu kama za mungu.japo alipata nguvu kidogo na ndio maana shetani mpaka leo ana nguvu na ushashi sana kwa binadamu.lakini mungu aliporejea akmuuliza nani amekuruhusu kukalia kiti changu,naye akajaribu sasa kupima kama kweli ana nguvu sawa na mungu.akashindwa na ndipo alipotambua kwamba shetani amemdanganya.na ndipo mungu akamwadhibu na kutupwa jehanamu kuwa shetani.binadamu gani basi unayeweza kuwanyonya wengine bila aibu wala huruma.kila binaadamu anastahili kama mwingine,nasema dhambi italipwa hapa duniani kabla hujakwenda ahera kupata hukumu ya dhambi zako zote.hivyi basi siku yako ya kutubu kwa wananchi imewadia ndugu yangu rostam aziz.wabeep na wengine nao wajue siku yao inakuja.rudisha hisani kwa kutubu na kujitoa kwa moyo wako wote ili watu waone jinsi ya kukuhurumia nakukupa msamaha
 
hicho (in red) ndicho kinategemewa kwa sasa na ikitokea tu ndiyo itakuwa proof ya mwisho kuwa nchi haina utawala. La kwanza ni juzi juzi tu pale KIA juu ya wanyama!
Nziku.. don't worry kinachoendelea sasa hivi is the unraveling of Rostam... subirini tu... akikimbia nchi msishtuke.. I wrote here a while ago.. tatizo ni kuwa watu hapa hawaunganishi habari.. we still see things in parts.. alichosema PW kilidokezwa hapa na mambo mengine kedekede.. (hata Mtikila alishakisema)..

Nyie subirini tu.. kuna mtu aliuliza RA aliomba uraia lini.. (tatizo siyo yeye kuwa muiran kwani Watanzania wengi tu wenye asili ya nchi mbalimbali nchini na waliomba uraia)..
 
Nziku.. don't worry kinachoendelea sasa hivi is the unraveling of Rostam... subirini tu... akikimbia nchi msishtuke.. I wrote here a while ago.. tatizo ni kuwa watu hapa hawaunganishi habari.. we still see things in parts.. alichosema PW kilidokezwa hapa na mambo mengine kedekede.. (hata Mtikila alishakisema)..

Nyie subirini tu.. kuna mtu aliuliza RA aliomba uraia lini.. (tatizo siyo yeye kuwa muiran kwani Watanzania wengi tu wenye asili ya nchi mbalimbali nchini na waliomba uraia)..
Na keshakimbia nchi kweli ila naamini mengineyo yako katika mikono salama, hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe.
 
LeoKweli said:



Shangazi responded:



Rostam Vs Mengi: Tribalism?

Yesterday (Wednesday) I was shocked when one of the great thinkers claimed that the ongoing clashes between Mengi Reginald and Rostam Aziz and his partners is tirbal fight involving Chagas and Lake Zone (Sukuma and Nyamwezi tribes).

That Lake Zone will always rally behind Rostam at any cost because he is their true son. This is funny and bullshit. God forbid, I am from Lake Zone regions and so does Mwanakijiji, we are not ready to support anybody under the grounds of tribalism. We are not ready to be dragged in the tribal sentiments by those who benefited from the looted billions.

By the way who is Rostam? He is mercenary who came to this country from Iran at the age of 22 to visit his uncle who was trading on buying and exporting hides. He stayed there in Igunga, learnt the local language including swahili as well as politics, before officially jumping into the bandwagon of parliament in 1994 after the death of Charles Kabeho.

Having inherited his uncle's business, Rostam rose as a trader trading in hides (Ngozi) before forming a road construction company called Capsian which he used to conduct shoddy business, and earned billions. This company failed to deliver according to the agreed standards in Mafia, Mwanza, Dar es Salaam, forcing Magufuli who was by then minister for works to suspend payments worth billions. That's why soon after Kikwete won the election, while Rostam and Lowassa acquired Habari Corporation, Muhingo Rweyemamu was given a special assignment to deal with the so called corrupt deals in government owned houses.

If you guys remember, Rai newspaper serialised damning articles about Magufuli in a calculated bid aimed at politically victimising him as well as reducing his popularity which was a threat to a much hurried man-Lowassa. But the funny thing is that while Rai was busy attacking Magufuli, Mr. Muhingo didn't bother to ask his boss (Rostam) how did he acquire his home in Dar while he wasn't the government's worker or civil servant.

If Mengi is misusing his media, please would you tell who is the media owner in this country who has not used his media for his personal interests? Toni Diallo? The Late Nyaulawa? Prince Aghakhan? Rostam? Tanil Somaiya? Subhash Patel? No one.

EPA

I have carefully read the last words written by Dr. Ballali before he died in US last year and my conclusion is very simple: Rostam is a shark through Kagoda. He pocketed Sh40billion using CCM campaign as a front or a shield.

"Rais Mkapa akaniita pale Ikulu akaniambia Kampe Rostam pesa ili Malaika aweze kushinda uchaguzi... Nikajibu kwamba pale benki kuu hakuna fedha labda zile za account ya madeni lakini itabidi wafuate utaratibu" DR. Ballali.

"Nikakaa na Rostam nikampa utaratibu na kumtambulisha kwa ndugu Maregesi ili amsaidie kusajili kampuni ya Kagoda... Kwa kuhofia bomu kulipuka nikashauri waingizwe na wengine wengi kwa masharti ya kuchangia Chama asilimia 40 ya malipo... Lengo lilikuwa ni kufanya ionekane kama serikali kwa wakati huo iliamua kulipa madeni." Dr. Ballali.

Now this is just the version of the dossier by Dr. Ballali where he strongly revealed how Rostam swindled the billions. The party was given only Sh10billion.

In conducting all bank transactions, Rostam used his personal secretary Tabu Abdulah as a cover-up. There's all evidence.

I am ending here but very soon I will reveal all things about Rostam.

Wewe ni PW unandelea kusaidia wadau kujua mengi Makapa ametuumiza sana mmakonde huyu!
 
Nziku.. don't worry kinachoendelea sasa hivi is the unraveling of Rostam... subirini tu... akikimbia nchi msishtuke.. I wrote here a while ago.. tatizo ni kuwa watu hapa hawaunganishi habari.. we still see things in parts.. alichosema PW kilidokezwa hapa na mambo mengine kedekede.. (hata Mtikila alishakisema)..

Nyie subirini tu.. kuna mtu aliuliza RA aliomba uraia lini.. (tatizo siyo yeye kuwa muiran kwani Watanzania wengi tu wenye asili ya nchi mbalimbali nchini na waliomba uraia)..

Mwanakijiji kweli ww ni msema kweli Tanzania inakaribia kuwa huru wazandinki wote toka msumbiji watakujulikana na wale wa Iran na mataifa mbali mbali 1 baada ya mwingine watakimbia?
 
JF NI KISIMA CHA HABARI,MUNGU AWABARIKI WALIOANZISHA FORUM HII...UKISOMA YALIYOPO HUMU NDANI ,UTAGUNDUA HII NCHI IMETOKA WAPI ,IPO WAPI NA INAKWENDA WAPI! MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
Back
Top Bottom