Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
My dear Lizzy,umemsahau huyu mama,naomba usimjibu,ni wale wenye fikra kuwa tunapaswa kufuata kama yeye.....kwa kuwa yeye kaolewa,kila mwanamke aolewe,reasoning capacity yake imetekwa na ndoa,nahisi aliisubiri au hata kuiendea bagamoyo,inaonyesha asingeolewa angekuwa kuzimu anaungua,mpotezee,mi sina time nae......Great thinker gani ana assumption kuwa lazima kama hukuolewa utakuwa hawara ya mtu??? simlaumu,wote anaowajua wasioolewa ni mahawara......so generally nawe utakuwa una dream ya kuwa hawara kama si tayari,achana nae.........
Asante mami....maana alivyotukomalia utadhani ametumwa!!!:twitch: