One and Only
Senior Member
- Mar 7, 2011
- 161
- 62
Sikuwa najua kuwa saa 5 inaweza kuwa mbali kiasi hiki lol
Haaa haa popo kanyea mbingu
Haaa haa popo kanyea mbingu
Hmmmmmm iyo avatar kidogo niingie uvunguni mwa kitanda......mambo lakini?Lara1 tupo na wewe vipi hushushi mzigo nini. Uzuri mapopo tupo
Alosto haswaaa ukiangalia pusher mwenyew amenyutiDk 10 izo zishaenda af Lara 1 hajatokea bado. Hii alosto nomaa. Pamoja kwamba nasinzia lakini ntasubiri mpaka nione mwisho wake. Lara 1 ukiamua leo naweza kesha na wewe
dk 6 zishakata, asee fanza mambo basi
Dk 10 izo zishaenda af Lara 1 hajatokea bado. Hii alosto nomaa. Pamoja kwamba nasinzia lakini ntasubiri mpaka nione mwisho wake. Lara 1 ukiamua leo naweza kesha na wewe
Naaam Lara 1, kama uliniita vile??...... Au nshaanza kuota??
Lara1 tupo na wewe vipi hushushi mzigo nini. Uzuri mapopo tupo
........................................................................
NimekujaaaHmmmmmm iyo avatar kidogo niingie uvunguni mwa kitanda......mambo lakini?
Hahaaaaaa! Hio ukipewa bila kushurutishwa na MTU yoyote. Ukiwa Na akili zako timamu utaingia Dukani kulipia IPhone Six Plus Na kwenda kumuhonga aliekupa hio style. Ni hatari sanaaa. Weka mbali Na walletlara 1, naomba kuijua style ya iphone six ndio ipoje.. Npm kama ni ya kiutu uzima zaidi na haifai hadhara.