sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Aya mae asante kwa taarifa. Afu siku ukienda kwa mtambuzi pale ofisini kwake mwambie atukutanishe bwana........nisha post
Aya mae asante kwa taarifa. Afu siku ukienda kwa mtambuzi pale ofisini kwake mwambie atukutanishe bwana........nisha post
Haa haa Wala bagamoyo siendi. Ni study za mioyo tuu na hivyo nimegundua tunakaa eneo moja dahNadhani utaniendea bagamoyo ina nina damu ya Yesu lazma ushindwe.
Thanks lara una kipaji keep it.nisha post
Weee nenda uko ukapigwe chupa mie sikai uko........uko kwa wachaga na mie si mchaga.Haa haa Wala bagamoyo siendi. Ni study za mioyo tuu na hivyo nimegundua tunakaa eneo moja dah
Aya bwana nipigwe chupa na nani?Weee nenda uko ukapigwe chupa mie sikai uko........uko kwa wachaga na mie si mchaga.
Kafanya utoto banaAkina HOM wanawasaidia kuwaweka akili sawa, si unaona Linda karudi strong.....unfortunately she learned the hard way! Rude awakening.....
Washenzi tena sio kidogo... Hawawezi kunyamaza midomo inawasha kama wametafuna pilipili kichaaBinafsi hamna sehemu nayoiogopa kudate kama ofisini ama mtaani......... Naogopa sana na sijaribu kufanya hvyo.........wanaume wa ofisini washenzi washenzi balaaaaa.......
Boys will be boys.....Kafanya utoto bana
Yashakufika ama unatubania riziki tu?Washenzi tena sio kidogo... Hawawezi kunyamaza midomo inawasha kama wametafuna pilipili kichaa
Na Linda anawakilisha madada wengi macho juu waliojaa huko maofisini.Heshima yako Lara duuh hii story tamu sana.
HOM ana represent wakaka wengi maofisini wanao take advantage of naive girls kama Linda. Ila kanyosha Linda ingawa akili bado haijamkaa sawa
Na wanaonaga raha kusema yule tayari na huyu tayari........Washenzi tena sio kidogo... Hawawezi kunyamaza midomo inawasha kama wametafuna pilipili kichaa
Na vibinti navyo havitulii utafikiri chupi zimesagiwa pilipili....Washenzi tena sio kidogo... Hawawezi kunyamaza midomo inawasha kama wametafuna pilipili kichaa
Hamna bwana inategemea na mtu , au ndo samaki mmoja akioza?Na wanaonaga raha kusema yule tayari na huyu tayari........
Imebidi tu nichekeNa vibinti navyo havitulii utafikiri chupi zimesagiwa pilipili....
njooo udate na mie huku niliko mbali na mashawasha yooteBinafsi hamna sehemu nayoiogopa kudate kama ofisini ama mtaani......... Naogopa sana na sijaribu kufanya hvyo.........wanaume wa ofisini washenzi washenzi balaaaaa.......
Kafanya utoto bana
Washenzi tena sio kidogo... Hawawezi kunyamaza midomo inawasha kama wametafuna pilipili kichaa
"Boys never grow up. They just get older and their toys get more expensive". Pathetic!!!!Na wanaonaga raha kusema yule tayari na huyu tayari........
Ha ha haaaaaaa Lara1 unatisha kama njaaa.Mdogo mdogo
u can say that againBoys will be boys.....