Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu,
Nimekutana na hii ishu nilipokua nacheki kumbukumbu flani za historia ya Kenya. Ni story inayouuma sana kuona unyama ukitendewa wananchi na serikali teule.
Kwa kweli Moi alikua muuaji namba moja na wale wasiomjua wangedhani ni mtu safi.
Tazama video kwa ufafanuzi zaidi:
Nimekutana na hii ishu nilipokua nacheki kumbukumbu flani za historia ya Kenya. Ni story inayouuma sana kuona unyama ukitendewa wananchi na serikali teule.
Kwa kweli Moi alikua muuaji namba moja na wale wasiomjua wangedhani ni mtu safi.
Tazama video kwa ufafanuzi zaidi:
Last edited by a moderator: