The Unholy Alliance - Daily News, Habari Corp & Issa Michuzi, whatz up?

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
There is suspicion of something very sinister involving these three news outlets - is it some unholy alliance formed for the sole purpose of misleading the electorate and denying them information ? I really do hope not but then do we really have to look far to know the mastermind - the evil force behind it all, the evil force that wont stop at anything to get what it wants !
There is only one such force in Tanzania, guess who ?
 
Just ignore them and you will be happy!

Ignore them and be happy ? What happiness are you talking about ? Do you know whose interests they are advancing ? Can you ignore that cancer that is eating into your body or that tick that is getting fatter and fatter by sucking the life out of you. There are things I just wouldnt ignore unless I was dead - like who really is Isa Michuzi and who really is financing what he calls Globu ya Jamii !

Who can have the guts to completely give a blackout to any news covering the Presidential candidate like Dr. Slaa ? I know for sure that the Isa Michuzi of old does not, so who is this new Isa Michuzi of now and who is really pulling the strings that control his twittering ?

That he can cover events like this....

DSC05437.JPG

MGOMBEA ANAYEOMBA KUTEULIWA
NA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) KUGOMBEA
KATIKA JIMBO LA NJOMBE MAGHARIBI MKOANI IRINGA,
DANFORD MPUMILWA AKIMWAGA SERA ZAKE
KATIKA KIJIJI CHA UTEWELE WILAYANI HUMO.


.......and completely ignore this
Main(14).jpg

Mgombea wa nafasi ya rais kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Dk. Wilbrod Slaa, akihutubia maelefu ya wakazi
wa mji wa Mbulu na vitongoji vyake,
mkoani Manyara, katika mkutano

Daily News, New Habari Corp. & Isa Michuzi have a hidden agenda and it is not a healthy one for this country. I know it is a CCM agenda and they are bound to fail.

Are the following the people who decide
what is newsworthy at the Daily News ?
Who are these people and why ?


07_10_504uuk.jpg


We have to fight these people with all we got and surely their days are numbered.
pencil.png
 

Attachments

  • Slaaa.jpg
    Slaaa.jpg
    232.8 KB · Views: 59
Just ignore them and you will be happy!
Issa Michuzi ni hawa ma-oppotunists njaa kali waliyo tayari kufanya lolote ili wapate mkate wa kila siku. Watu kama hawa wako kila mahali. Hawa ni jamii ya wale waandishi wa sheria, mafarisayo na masadukayo walioelezewa kwenye bible. Wana vipaji vya kuwaingia watu wanapoona kuna ulaji na hawakawii kukukimbia unapokwa huna kitu. Wako wengi....Shy Rose Banji, Don King (yule promoter wa ngumi) ...list ni ndefu
 
Kwani si tumeshaambiwa, serikali imetekwa na mafisadi? Ndio hao hao magendaeka wanaotoa maelekezo nini kiandikwe kwenye vyombo vya habari vinavyomilikiwa na umma, au serikali. Pia Habari corporation hii ya sasa si mchezo ati. Mpaka akina Ulimwengu na Mbwambo wakabwaga manyanga, ujue hali ni mbaya.
 
Hivi vyombo ndivyo vilivyotumika kuwachafua vibaya watu wenye akili kama kina Salim A. Salim wakati wa kumleta Kikwete na sasa vimejiweka tayari kwa kazi ile ile. Kila mzalendo kweli atatupwa nje ili ndani ya system yabaki mafisadi tu yaliyobinafsiwa ofisi ya Magogoni
 
Issa Michuzi ni hawa ma-oppotunists njaa kali waliyo tayari kufanya lolote ili wapate mkate wa kila siku. Watu kama hawa wako kila mahali. Hawa ni jamii ya wale waandishi wa sheria, mafarisayo na masadukayo walioelezewa kwenye bible. Wana vipaji vya kuwaingia watu wanapoona kuna ulaji na hawakawii kukukimbia unapokwa huna kitu. Wako wengi....Shy Rose Banji, Don King (yule promoter wa ngumi) ...list ni ndefu

Na hapa kajitokeza wazi wazi kwa ngozi yake kamili baada ya kuona jahazi linakwenda mrama - tazameni Ankal anavyompigia debe mshikaji.

Kutoka Issa Michuzi blog - CD ya "JAKAYA KIKWETE 2010" IMEINGIA NCHINI KWA KISHINDO !!!!!!! KIKUBWA
by Ankal Michuzi !!

Singo CD "Jakaya Kikwete 2010" kutoka kwao "Ngoma Africa Band"
IMESHATUA NCHINI KWA KISHINDO NA NGUVU ZAIDI !!!
PATA KOPI YA CD KWA KWA ANKAL MICHUZI
Hayawi !Hayawi ! Yamekuwa hile CD inayozungumziwa na washabiki wengi kila kona duniani.

Sasa imeshatua nchini ,CD hiyo yenye jina "JAKAYA KIKWETE 2010" Kutoka kwao
"The Ngoma Africa Band" yenye maskani yake uko Ujerumani,Sasa unaweza kupata kopi za CDhiyo kwa ANKAL Muhidin Issa Michuzi aka Mzee wa Libeneke,kwa simu 0754271266 wa blog ya
ya kimataifa ya jamii.
Pia kwa yeyote yule anayetaka atumiwe mp 3 au kuweka nyimbo hizo katika mlio wa Simu za viganjanitafadhali usisite kuwasiliana na Ankal Michuzi kwa simu namba 0754271266 CD hiyo yenye mziki mtamu


Sijui hiyo CD inazungumziwa kila kona ya dunia gani - hii yetu ? Kweli ukipenda chongo utaita kengeza !

Dr. W. P. Slaa atisha kikweli kweli !
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali
 
Issa Michuzi na Habari corp sio vymbo vya umma . wana uhuru wa kuonyesha upendeleo. Labda Daily News ingawa na wenyewe ukweli Government of the day ndiye Boss.
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali

Nashukuru sana kwa jibu lako Michuzi..oops kanda2 na nafurahi ujumbe umefika.

Issa Michuzi na Habari corp sio vymbo vya umma . wana uhuru wa kuonyesha upendeleo. Labda Daily News ingawa na wenyewe ukweli Government of the day ndiye Boss.

Kwa kuwa si vyombo vya Umma na vinaonyesha upendeleo basi visidai vinginevyo na visipotoshe makusudi. Kuhusu Issa Michuzi subiri tu ukweli unatafutwa na data zakusanywa, si kila kinachong'aa ni cheupe !
 
Kwa kuwa si vyombo vya Umma na vinaonyesha upendeleo basi visidai vinginevyo na visipotoshe makusudi. Kuhusu Issa Michuzi subiri tu ukweli unatafutwa na data zakusanywa, si kila kinachong'aa ni cheupe !

Nakuambia hata vingekuwa vyombo vya umma lazima viwe royal kwa government of the day kwa kiasi fulani. Sasa issamichuzi unamlaumu nini? ile ni blog yake binafsi na pili yeye ni mfanyakazi tena ofisa wa serikali na tatu ni mwana CCM.

Hata kama ungekuwa wewe uko kwenye position ya michuzi lazima utakuwa biased at some degree.
Huwezi kujua mapungufu ya CHADEMA kwa kusoma Tanzania Daima pekee. Wala Huwezi kuona maoni ya Ufisadi wa RA kwenye RAI au Ufisadi wa R. Mengi kwenye This Day. Lakini vyote hivi vinajinadi ni vyombo makini na huru .

"shigongo amtesa Dk slaa" hiyo nayo ni front news/udaku ya magazeti ya udaku ya mheshimiwa mtarajiwa 1ja. mbona hujamsema??? tena huyu ndo anapotosha . Anamtesa dk slaa wanagombea jimbo 1ja? Si bora hata hao wasitoa habari kabisa.
 
Kuna watu ustawi wao ni CCM kuwepo madarakani ndio maana wako tayari kuvua nguo hadharani kama kitendo hicho kitasaidia CCM kupata umaarufu.

Akili zao zimeharibiwa vya kutosha sijui kwani walienda shule kama elimu yao haisaidii kujua mema na ufisadi.

Ningeshauri tuwaorodheshe wote wenye kupotosha ukweli, mfano

1. MS
2.
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali

Umeanza tena kuonyesha njaa zako baada ya kuona kifaulongo wako anaelemewa ehe! Na nakwambia kipindi hiki ataanguka majukwaani mara saba! ... cha moto mtakiona kutoka kwa Slaa...na wazalendo halisi wa Tanzania mwaka huu
 
Kama TIDO na upeo wake wote..anawatumikia MAFISADI..tusimmwoneeee Michuzi jamani.... Tuna OMBWE la uongozi Tanzania...Let us VOTE them out now...
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali


Michuzi ni propaganda wa CCM na serikali.Hizo trip zote nani anamlipia?
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali


Kwani wewe kada wa Mchuzi?, yey alikuwa anatoa maoni yake, na ndo maana watu tunachangia hoja, kama wewe umekasirika si basi uende huko kwa Michuzi----------jina lenyewe Michuzi, si makombo hayo?
 
Na wewe nawe kila kukicha Michuzi hivi Michuzi vile, acha kuigeuza Jf anti Michuzi. Kama unaona anapendelea CCM na hampi coverage tosha Slaa wako upo huru na ww kuanzisha blogu yako na ujaze habari za Slaa tu. Hapa usitugombanishe na Michuzi na utitiri wako wa thread tafadhali

Mkuu... naomba nikueleze wazi kwamba haijalishi mtu anakuja na threads ngapi za mtu mmoja au hoja moja ilimradi kwamba zina ujumbe tosha...

i look at repeating one topic as pressing towards yielding na dhiyo maana tuna hoja ya Tanzania bila ukimwi au malaria no more

|in addition, JF is bigger than one member na kwa wewe kusema kwamba jf ina watu na mambo mengi, huwezi sema kwamba mtoa hoja mmoja anaweza kusababisha JF kuwa anti michuzi

Michuzi needs to be given feedback and JF is one of the conduit... he is a good photographer and thats it, his affiliation to a certain group may not healthy

Acidic post
 
Michuzi ni propaganda wa CCM na serikali.Hizo trip zote nani anamlipia?

mimi naona blogu yake ni ya mtu anayetumika zaidi kuwasilisha hoja za watu fulani ingawa he is full of info.... lakini maybe si kosa lake kwani hatulazimiki kumsoma kila siku
 
Nakuambia hata vingekuwa vyombo vya umma lazima viwe royal kwa government of the day kwa kiasi fulani. Sasa issamichuzi unamlaumu nini? ile ni blog yake binafsi na pili yeye ni mfanyakazi tena ofisa wa serikali na tatu ni mwana CCM.

Hata kama ungekuwa wewe uko kwenye position ya michuzi lazima utakuwa biased at some degree.
Huwezi kujua mapungufu ya CHADEMA kwa kusoma Tanzania Daima pekee. Wala Huwezi kuona maoni ya Ufisadi wa RA kwenye RAI au Ufisadi wa R. Mengi kwenye This Day. Lakini vyote hivi vinajinadi ni vyombo makini na huru .

"shigongo amtesa Dk slaa" hiyo nayo ni front news/udaku ya magazeti ya udaku ya mheshimiwa mtarajiwa 1ja. mbona hujamsema??? tena huyu ndo anapotosha . Anamtesa dk slaa wanagombea jimbo 1ja? Si bora hata hao wasitoa habari kabisa.

Afadhali umemmsema huyu wa Buchosa, maana wiki nzima anapiga kampeni kwenye magazeti yake. Siku hizi ukitaka kusoma magazeti TZ, habari moja isome magazeti 3 tofauti ndiyo utajua ukweli.
 
MICHUZI, MS, TAMBWE HIZZA, DR. KABOROU, LYATONGA MREMA wote ni vin'gamuzi vya CCM aka wajipendekezaji tu hawana jipya wanatafuta kufadhiliwa kwa pilau na pombe kama waisraeli utumwani Misri.
 
Back
Top Bottom