Vica
Member
- May 27, 2008
- 84
- 12
huyu jamaa sikutegemea kwani tuulize sisi wafanyakazi wa TANESCo jinsi tunavyotesaka,Kafukuza watu kwa vikesi vya kijinga yaani kaweka record ya kufukuza watu TANESCO.sasa kumbe naye Mungu alikuwa anamuandalia upeo KUBENEA.Jamaa anatisha sana kwa kujifanya msafi,maskini yaliwakuta wafanyaazi wa TANESCO walofukzwa ni wengi sana kwa vikesi vya kijinga