Brazameni yuko wapi atupe commercial break.....
Sikia, tukubaliane tuwe tofauti, ila usining'ang'anize unachoamini wewe, wala kuniambia niteme mate chini na imani zako hizo. NIMEMSOA biography ya Steve Biko (I was 13), nimesoma Biography ya Mandela (iliniboa). Naheshimu Mandela kukaa miaka yote hiyo jela. Lakini pia katoka jela haelewi dunia inaenda vipi. Ndio huyo huyo hero wake hakuamini aendeshwe na rubani mweusi....hero wako huyo. Naheshimu sacrifice aliyopitia kukomboa South Africa.
Mandela hajaongoza SA, kaongozwa. He was symbolic with no clue of what was going on. Sio kwamba sio intelligent, ni kwamba, kutojua kwakwe na vijana wake, na ushamba wao wa power, ndio kimewafanya south africa wawe wachovu mpaka leo hii. Wanatia aibu kwa waafrika. Yeye na timu yake wamezidi kuonyesha kwamba bila ya mzungu waafrika hatuwezi kujiendeleza. Walivyochezewa huko kwao, ndio wanatuletea hao makaburu watuchezee kwetu.
On that note, ndio maana nasema, naweza jifunza zaidi kuhusu ulimwengu, nikikaa na Chenge kuliko nikikaa na Mandela (miaka 27 ndani sio mchezo hata uwe na akili gani). Thats my belief, its not disrespecting, that is what I believe. Kama wazungu wamekupa propaganda umwabudu Mandela hiyo juu yako!!
Sijaongelea MLK na Malcolm X.
Umesoma biography ya Biko ukiwa na miaka 13? Hongera sana. Nilimsoma Fanon nikiwa na umri huo huo na sikumwelewa hadi nilipomsoma tena nilipokuwa mtu mzima.
MLK= Mandela kabla ya Umkhonto we Sizwe, Malcolm= Steve Biko.
Ndiyo maana nilikuuliza ulimsoma KWELI ukamuelewa?
Najua hii inayofuata iko nje ya mada, lakini nivumilie! With all due respect,ulitaka Madiba afanye nini wakati alipokuwa rais? Kumbuka haikuwa tuu makaburu waliokuwa tumbo moto bali a virtual civil war kati ya ANC na wakina Buthelezi ilikuwa inaendelea kwenye townships! Huyu amabe pamoja na ushindi wa tsunami aliwakaribisha wazulu na wengine kwenye serikali yake? Huyu ambae pamoja na kupendwa (naam bado anapendwa) aliachia ngazi kwa hiari yake?
Ile nchi ina wazungu ambao ni raia kama alivyokuwa yeye. Ulitaka awafukuze ili athibitishe kuwa sisi waafrika tunaweza bila wao? Au ulitaka awagawie mashamba na maghorofa yote wale walioko Alexandria na Soweto? Angekua kama Mugabe ndiyo ungemuona true revolutionary? Potelea mbali watu wanakufa njaa lakini uchumi uko mikononi mwa waafrika weusi wenzetu!
Basi iko kazi! Kwa mtazamo huo, naona kweli utajifunza mengi kutoka kwa Chenge kuliko kwa Madiba!
Kwa vile naona tumeelewana tunatokea wapi, basi mimi nakaa pembeni.
.........shhhhhhhhhhhi...mwache bana, utamkamatisha bure.....Nzoka,
Chenge alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka mingapi?
Nzoka,
Chenge alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka mingapi?
hiiiiiii...kumbe hili liNzoka nalo lisomi la mavitabu!!!!..... lol
.........shhhhhhhhhhhi...mwache bana, utamkamatisha bure.....
ba!
Kwa vile naona tumeelewana tunatokea wapi, basi mimi nakaa pembeni.[/FONT]
Mimi nimekwambia sijacompare MLK na Malcolm X.
The brain behind the leadership even during Mandela's time was Mbeki!! Na Zuma kamshinda Mbeki kwasababu watu watakaomchagua Zuma wanafikiri atatatua matatizo yao, wakati hata Zuma mwenyewe anaelewa waliochemsha ni Mandela, Mbeki and crew! Mandela alikuwepo pale symbolic tu. Aliaachia ngazi kwasababu alikuwa hana nyimbo wala upeo wa kuongoza modern economy. Aliongoza kipindi cha kwanza kwa heshima tu.
Kwavile humpendi Chenge, labda nikupe mfano mwingine. Nitajifunza zaidi nikikaa na Attorney General wa South Africa provided kakaa muda mrefu kama Chenge, kuliko nikiongea na Mandela. Mandela namwona kama babu yangu. A wise old man.
People are willing to point at weaknesses of great men like Nyerere, lakini hamtaki Mandela akosolewe? Pleease!
...Madiba ana matatizo yake... lakini aliacha nchi yenye amani ambayo ingeweza kukumbwa na machafuko makubwa! Hili sio dogo hata kidogo hasa katika mazingira yetu ya Afrika.
unajua mtu anazungumza with contempt... the guy is not humble at all.. he is in a fight or flight mode..
Fundi, heshima mbele.
Mimi huwa natatizwa sana tukimpa mtu sifa kwa jambo ambalo anategemewa alifanye. Tukisema sasa siku hizi kuto kupigana vita ndio mafanikio ya Afrika tunakuwa tumeshusha sana viwango. Kwa hiyo sidhani kama Mandela inabidi asifiwe kwa hilo.
Vinginevyo inabidi tumtuze Mkapa, Mwinyi na Kikwete kwa mafanikio makubwa Tanzania kwa sababu wali iepusha nchi na vita. Ahsante.
halafu njoo kule katika ukumbi wetu uje utumalizie il RIWAYA YA PENZI LA FISADI.
Siri ya mabilioni ya Chenge Jersey
Ni kweli amelazimika (Chenge) kutuma ujumbe maalumu kwenda Finland ili kumuomba ...aliyeziweka fedha zile katika ile akaunti awe tayari kujitokeza na kueleza sababu ya kuziingiza na malengo yake. Mjumbe anasubiriwa kwa hamu Dar kwani bado hajarudi, alisema mtoa habari huyo ambaye hakuwa tayari kutajwa jina lake gazetini.
Ni kweli kuna mtu mmoja mzito (anamtaja kwa wadhifa), ametumwa huko nje kwa kazi hiyo ya kuonana na mwenzake anayehusishwa na fedha hizo...mkitaka taarifa zaidi mtafuteni Chenge mwenyewe au mwanasheria wake, alisema mwanasiasa huyo.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!
Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.
All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).
On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.
Naona unaweka mkazo kweli kweli kwenye Havard wakati jamaa ameshindwa hata kutengeneza contracts za maana kwa ajili ya mwajiri wake ambaye ni serikali ya TZ?
Mambo yale yale ya kufikiri kwasababu kasoma Havard university basi ana uwezo mkubwa.
Kama ana uwezo mbona hata hizo contracts zimechoka ile mbaya?