WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Uchaguzi unakuja... si mbali sana.
Kuna vyama wameshateuwa wagombea, kuna ambao wameshatangaza nia za kuwania urais. Inajulikana kabisa kuwa mchakato mzima wa kuwapata wagombea ni kupitia vyama vya siasa maana hadi sasa hakuna sheria inayoruhusu mgombea binafsi.
Cha kujiuliza:
1. Kama mwananchi, nina nafasi gani kushiriki katika mchakato wa kuchagua wagombea?
2. Kama wagombea wanachaguliwa na vyama vyao, na kama mimi siyo mwanachama wa chama chochote, uchaguzi huo unanihusu kivipi?
3.Kama kikatiba nina haki ya kupiga kura na ninaambiwa nitumie haki hii na nisiilalie does it make sense kumpigia kura mtu ambaye sikuwa na haki ya kushiriki kumtafuta?
4. Je kutokupiga kura siyo haki yangu? ( hili swali sijui kama nimewahi kuona likijadiliwa)
5. Nini nguvu ya haki ya kutokupiga kura na inaweza kuleta impact gani kwenye democrasia?
Kuna vyama wameshateuwa wagombea, kuna ambao wameshatangaza nia za kuwania urais. Inajulikana kabisa kuwa mchakato mzima wa kuwapata wagombea ni kupitia vyama vya siasa maana hadi sasa hakuna sheria inayoruhusu mgombea binafsi.
Cha kujiuliza:
1. Kama mwananchi, nina nafasi gani kushiriki katika mchakato wa kuchagua wagombea?
2. Kama wagombea wanachaguliwa na vyama vyao, na kama mimi siyo mwanachama wa chama chochote, uchaguzi huo unanihusu kivipi?
3.Kama kikatiba nina haki ya kupiga kura na ninaambiwa nitumie haki hii na nisiilalie does it make sense kumpigia kura mtu ambaye sikuwa na haki ya kushiriki kumtafuta?
4. Je kutokupiga kura siyo haki yangu? ( hili swali sijui kama nimewahi kuona likijadiliwa)
5. Nini nguvu ya haki ya kutokupiga kura na inaweza kuleta impact gani kwenye democrasia?