Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,738
- 6,803
Bwana Kiranga ni loser anaejificha kwenye kivuli cha success zake chache akidhani wengine kushinda zaidi ya hapo alipofanya yeye ni dhambi. He hates achievers who achieve more than him to the extent that he hates his own God
The same mentality imekua kiasi kwamba yeye akiona mtu/kitu kina-power zaidi yake yeye basi anaona wivu unaozaa hate then anadeliver hio hate kwa sahani ya criticism.
The same mentality ndo inamfanya asikubali uwepo wa Mungu sababu hataki kuona na kukubali makuu Mungu aliofanya anatamani angekua na uwezo akayafanya yeye ili watu wamtukuze.
Na hawa watu aina ya bwana kiranga ni very dangerous wakipata power. Sababu wataanza kuforce ku-achieve vitu ili tu wao ndo waongelewe na watukuzwe hawatotaka kusikia wengine wakiongelewa kwa makuu waliofanya. Hio ndo maana anawachukia watu kama Elon Musk, Magufuli, nk...
That's kiranga, yupo kwenye extremely critical level ya Narcissism ila hataki kukubali ukweli.
The same mentality imekua kiasi kwamba yeye akiona mtu/kitu kina-power zaidi yake yeye basi anaona wivu unaozaa hate then anadeliver hio hate kwa sahani ya criticism.
The same mentality ndo inamfanya asikubali uwepo wa Mungu sababu hataki kuona na kukubali makuu Mungu aliofanya anatamani angekua na uwezo akayafanya yeye ili watu wamtukuze.
Na hawa watu aina ya bwana kiranga ni very dangerous wakipata power. Sababu wataanza kuforce ku-achieve vitu ili tu wao ndo waongelewe na watukuzwe hawatotaka kusikia wengine wakiongelewa kwa makuu waliofanya. Hio ndo maana anawachukia watu kama Elon Musk, Magufuli, nk...
That's kiranga, yupo kwenye extremely critical level ya Narcissism ila hataki kukubali ukweli.