The people don"t know their future power

ACHIMIDES

Member
Apr 2, 2012
9
0
Mostly likely in tanzania
546348_3248259840109_1075329370_33077752_1561666477_n.jpg
 
wanasiasa wengi hasa watawala wetu wanajua na kufukiri kuwa wako mahali walipo kwa nguvu zao wenyewe na kusahau kuwa muhimili wao ni watu. katka picha hii watu wakiondoka hapo basi huyo mwanasiasa anayetoa hutuba bila woga wowote atapotea milele na wala hawezi kuokoka kamwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom