Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
kati ya vitu vinavo niboa nihicho
usiboreke jaman mwenzio nishazoea...zaman mpk kucha za miguu nilikuwa nakata na meno nanyanyua mguu juu naukunja mpk mdomon ..sw siwez cz watu wataNICHUNGULIA nikinyanyua mguu bt swaga za mkono ni zile ziule full kutafuna..
kutafuna kucha kunaleta busara c z mtu akikuboa unawaza kuwaza kwanza kidole mdomon wala uropoki kuanza kumfokea baada ya apo jibu moja tu ukimpa mdau anatawanyika kwa mbwembwe
wakat ukisoma kidole mdomon ahh asikwambie mtu full maconcetration yaan..