Magpie
Member
- Aug 26, 2009
- 70
- 7
WanaajamiiForums, kuna sheria hii mpya ambayo imekuaa signed na Mh. JK Nov, 2009 ina mambo mengi
mazuri kwa maslai ya mtoto wa kitanzania, hasa kumlinda kwa mambo hatarishi kama yalivyo oanishwa kwenye S. 17 of the Act (child protection), inakataza mtoto kuingia kwenye kumbi za disko, bar na night club pia ina kataza mtoto kuuziwa sigara, pombe au dawa za kulevya.
Na nilichokipenda zaidi ni hiki kuhusu kuwatumia watoto katika shughuli za harusi mpaka usiku, sheria hii imeweka wazi katika S. 158 (c) kuwa ni makosa kuwatumia watoto katika shughuli za fashion show ua harusi zinazo fanyika usiku.
masikitiko yangu ni kwamba japokua sheria hii imekuja kujaribu kutetea maslai ya watoto, lakini ya pata miezi sita sasa toka isainiwe na Mh rais hakuna wizara au wadau husika katika maswala ya haki za watoto waliojitokeza na kuipigia debe ila watanzania kwa ujumla wao wajue kwamba sheria hii ipo na inakusudia kulinda vitu gani, maana hadi hii leo inasikitisha kuona watoto wakitumiwa hadi usiku kwenye shughuli za harusi.
sipigii debe sana ishu ya watoto kwenye kumbi za starehe maana hili lina matatizo yake katika utekelezaji wake maana Tz hatuna ID ambazo zinaweza kumtambulisha mtoto au mtu mzima, maana sheria inataamka wazi kuwa mtoto ni yule aliekua chini ya miaka 18.
mazuri kwa maslai ya mtoto wa kitanzania, hasa kumlinda kwa mambo hatarishi kama yalivyo oanishwa kwenye S. 17 of the Act (child protection), inakataza mtoto kuingia kwenye kumbi za disko, bar na night club pia ina kataza mtoto kuuziwa sigara, pombe au dawa za kulevya.
Na nilichokipenda zaidi ni hiki kuhusu kuwatumia watoto katika shughuli za harusi mpaka usiku, sheria hii imeweka wazi katika S. 158 (c) kuwa ni makosa kuwatumia watoto katika shughuli za fashion show ua harusi zinazo fanyika usiku.
masikitiko yangu ni kwamba japokua sheria hii imekuja kujaribu kutetea maslai ya watoto, lakini ya pata miezi sita sasa toka isainiwe na Mh rais hakuna wizara au wadau husika katika maswala ya haki za watoto waliojitokeza na kuipigia debe ila watanzania kwa ujumla wao wajue kwamba sheria hii ipo na inakusudia kulinda vitu gani, maana hadi hii leo inasikitisha kuona watoto wakitumiwa hadi usiku kwenye shughuli za harusi.
sipigii debe sana ishu ya watoto kwenye kumbi za starehe maana hili lina matatizo yake katika utekelezaji wake maana Tz hatuna ID ambazo zinaweza kumtambulisha mtoto au mtu mzima, maana sheria inataamka wazi kuwa mtoto ni yule aliekua chini ya miaka 18.