PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Habari za mchana wanajamii? Poleni kwa majukumu ya nusu siku....
Leo Jambo linalonitatiza ni hili. Binafsi napenda sana sukari! yani nimepitiliza...asubuhi nitaweka nyingi kwenye chai.
Vinywaji vingi nnavyokunywa ni vya sukari na ni ngumu sana unishawishi ninywe kisichokuwa na sukari zaidi ya maji..
Wazazi wangu wamepiga kelele na kuchukua other measures sana ila wapi nimekua na bado sijabadilika....
Sasa kwa kauchunguzi kangu kadogo nilikofanya nimegundua sukari haina madhara kwa mtu ambaye siyo diabetic(specificaly with high blood sugar)...Ila watu wanasema ina madhara na mimi nakiri kwenye uchunguzi wangu nayaamini majibu kwa 45.09652%.
Point yangu wanaJamii siyo sukari huo nimetoa tu kama mfano il muelewe vizuri swali langu BALI point yangu ni tabia zetu ambazo si nzuri kiafya, kijamii na kidini ambazo wazazi wetu wamekuwa wakizishape in an attempt to raise us up to fit in the society.
Je zile walizoshindwa kuzirekebisha kabisa zina madhara makubwa kwa wanetu?
Kwa mfano mimi nawaza namwambiaje mwanangu, 'my son don't consume much sugar, it's not good for your health' wakati mimi baba yake nimeshindikana? FYI: i wish to become the best father possible
Leo Jambo linalonitatiza ni hili. Binafsi napenda sana sukari! yani nimepitiliza...asubuhi nitaweka nyingi kwenye chai.
Vinywaji vingi nnavyokunywa ni vya sukari na ni ngumu sana unishawishi ninywe kisichokuwa na sukari zaidi ya maji..
Wazazi wangu wamepiga kelele na kuchukua other measures sana ila wapi nimekua na bado sijabadilika....
Sasa kwa kauchunguzi kangu kadogo nilikofanya nimegundua sukari haina madhara kwa mtu ambaye siyo diabetic(specificaly with high blood sugar)...Ila watu wanasema ina madhara na mimi nakiri kwenye uchunguzi wangu nayaamini majibu kwa 45.09652%.
Point yangu wanaJamii siyo sukari huo nimetoa tu kama mfano il muelewe vizuri swali langu BALI point yangu ni tabia zetu ambazo si nzuri kiafya, kijamii na kidini ambazo wazazi wetu wamekuwa wakizishape in an attempt to raise us up to fit in the society.
Je zile walizoshindwa kuzirekebisha kabisa zina madhara makubwa kwa wanetu?
Kwa mfano mimi nawaza namwambiaje mwanangu, 'my son don't consume much sugar, it's not good for your health' wakati mimi baba yake nimeshindikana? FYI: i wish to become the best father possible