Lowasa ni bora kuliko kikwete mara 100%. Hakuna ubishi wengi mnaleta chuki zenu humu bila sababu. Oct 2010 JK alisema hakuna mchapa kazi baadaye kidogo ndani ya miezi jk akasema huyu ni gamba. Huo ni mchezo wa kitoto. Heri Lowasa kuliko huyo mgonjwa wenu x anayebadilisha damu.