Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 2,749
- 5,827
Japo niliaga wiki kadhaa na hiyo bado ni nia yangu hila dunia imesogea sana.
Binafsi sina shida ya kukosolewa, but also nimechoka kusoma ujinga.
Asilimia kubwa ya watu awawezi kuandika hoja; it has nothing to do with grammar but the merit of the argument.
Washindi wa mashindano ya JF hata hayo mambo yenyewe hawana uelewa nayo mpana.
Kama mshindi wa mwaka huu hata hayo maswala yenyewe ya kodi hajui.
Sasa ni hivi nimechoka kusoma ujinga na kupeana likes zenu za ujinga katika mambo ambayo watu hawana ufahamu nayo.
To hell, kwa kweli inachosha kusoma ujinga halafu mtu ana likes mia; wakati ni nonsense tupu.
That’s me
Niki kutwanga uelewe either ujibu concerns zangu; au kaa kimya.
The nonsense I read is beyond me.
Hivi unawezaje kuandika kitu ambacho ukielewi na ukajiita msomi the audacity.
That’s my message if you see, hata kama una likes mia kama upuuzi nakutwanga tu.
Binafsi sina shida ya kukosolewa, but also nimechoka kusoma ujinga.
Asilimia kubwa ya watu awawezi kuandika hoja; it has nothing to do with grammar but the merit of the argument.
Washindi wa mashindano ya JF hata hayo mambo yenyewe hawana uelewa nayo mpana.
Kama mshindi wa mwaka huu hata hayo maswala yenyewe ya kodi hajui.
Sasa ni hivi nimechoka kusoma ujinga na kupeana likes zenu za ujinga katika mambo ambayo watu hawana ufahamu nayo.
To hell, kwa kweli inachosha kusoma ujinga halafu mtu ana likes mia; wakati ni nonsense tupu.
That’s me
Niki kutwanga uelewe either ujibu concerns zangu; au kaa kimya.
The nonsense I read is beyond me.
Hivi unawezaje kuandika kitu ambacho ukielewi na ukajiita msomi the audacity.
That’s my message if you see, hata kama una likes mia kama upuuzi nakutwanga tu.