The decision of President is Final,Locuta causa Finita

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
President Samia Suluhu locuta causa finita"President Samia has spoken .Her words are final "You are not required to question

Kumbukeni hayo ni maneno ya kilatini na ndio msingi wa sheria zetu

Mnaomsifia Kibatala na Tundu lisu na yale maneno yao basi jua ni jargon za kilatini

Sasa kwa katiba yetu Tanzania kwa kilatini Rais wetu ni locuta causa finita

Mnaohoji bandari ,Swali lenu Pascal Mayalla alishamuuliza JPM na akajibiwa kuna mzizi uliojichimbia zaidi kwenda chini na huo upo kwa mujibu wa katiba na huo ndio umeshikilia pesa za bunge na Mahakama kwa hiyo ile issue ya separation of power inajifia by default

Tanzania kwa katiba yetu maamuzi ya Rais ndio maamuzi ya mwisho huruhusiwi kuyahoji wala kuyaongelea ovyo

Rais akipelekewa muswada na akausaini tambua hiyo ndio imeisha na hiyo ndio sheria ya nchi

Kwenye safari ya mamba na kenge wapo,Kwenye safari ya maendeleo kenge wapo wengi sana wanaotaka kujifanya mamba kwa kupinga uwekezaji

Welcome Dp World in Tanzania ,Tunampongeza Mama Samia kwa kusimamia msimamo wa katiba yetu

Samia ni kamanda in chief wa majeshi yetu haendeshwi na story za vijiweni
 
Yote Yana mwisho lakini
Acha unabii

Pascal aliwahi waita watu humu za Prophet of the dome ,Manabii wa kuombea watu mabaya bila wao kujua wapo kwenye safari ile ile

Hukumbuki waliomuombea lowasa kifo they perish themselves

Kikubwa umeelewa maamuzi ya Rais Tanzania kwa mujibu wa katiba yetu ndio mwisho

Locuta causa Finita( The authority of the president is Final and unquestionable)
 
Acha unabii

Pascal aliwahi waita watu humu za Prophet of the dome ,Manabii wa kuombea watu mabaya bila wao kujua wapo kwenye safari ile ile

Hukumbuki waliomuombea lowasa kifo they perish themselves

Kikubwa umeelewa maamuzi ya Rais Tanzania kwa mujibu wa katiba yetu ndio mwisho

Locuta causa Finita( The authority of the president is Final and unquestionable)
Sijaombea mtu ubaya. Kiwe kizuri au kibaya at some point everything will come to an end. Wazuri wame perish, wabaya wa me perish. And life goes on .
 
Pamoja na mzizi huo uliojichimbia kutaja

Kuna pahala anaoza
Mkuu achana na ushabiki

Unafahamu mapato ya bandari,Na yalikuwa kiasi gani na yalipelekwa wapi?

Najua hujui swali hilo?

Na ile kampuni ya Ticts ilikuwa inakusanya kiasi gani na walipeleka wapi hizo pesa

PESA ZA BANDARI zinarekodiwa kama pesa za wilaya ya ilala au ?
 
President Samia Suluhu locuta causa finita"President Samia has spoken .Her words are final "You are not required to question

Kumbukeni hayo ni maneno ya kilatini na ndio msingi wa sheria zetu

Mnaomsifia Kibatala na Tundu lisu na yale maneno yao basi jua ni jargon za kilatini

Sasa kwa katiba yetu Tanzania kwa kilatini Rais wetu ni locuta causa finita

Mnaohoji bandari ,Swali lenu Pascal Mayalla alishamuuliza JPM na akajibiwa kuna mzizi uliojichimbia zaidi kwenda chini na huo upo kwa mujibu wa katiba na huo ndio umeshikilia pesa za bunge na Mahakama kwa hiyo ile issue ya separation of power inajifia by default

Tanzania kwa katiba yetu maamuzi ya Rais ndio maamuzi ya mwisho huruhusiwi kuyahoji wala kuyaongelea ovyo

Rais akipelekewa muswada na akausaini tambua hiyo ndio imeisha na hiyo ndio sheria ya nchi

Kwenye safari ya mamba na kenge wapo,Kwenye safari ya maendeleo kenge wapo wengi sana wanaotaka kujifanya mamba kwa kupinga uwekezaji

Welcome Dp World in Tanzania ,Tunampongeza Mama Samia kwa kusimamia msimamo wa katiba yetu

Samia ni kamanda in chief wa majeshi yetu haendeshwi na story za vijiweni
ni lugha ya kilatini ndio lakini sio lugha ya kisheria, hutumiwa sana na kanisa katoliki kwenye dogmatics issues, kuonyesha ukuu wa kanisa katika mafundisho yao, yaani, Roma Locuta Causa Finito, when the Rome says it is finished, only in dogmatic issues when the ecclesia is extra cathedra, msimamo wa kisheria ni Ibara 13, ya katiba ya JMT na Katibu nyingi dunia, kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria. all people aare equal before the law

acha uongo mkuu, wote tuko sawa before the law, ibara ya 13 ya katiba
 
President Samia Suluhu locuta causa finita"President Samia has spoken .Her words are final "You are not required to question

Kumbukeni hayo ni maneno ya kilatini na ndio msingi wa sheria zetu

Mnaomsifia Kibatala na Tundu lisu na yale maneno yao basi jua ni jargon za kilatini

Sasa kwa katiba yetu Tanzania kwa kilatini Rais wetu ni locuta causa finita

Mnaohoji bandari ,Swali lenu Pascal Mayalla alishamuuliza JPM na akajibiwa kuna mzizi uliojichimbia zaidi kwenda chini na huo upo kwa mujibu wa katiba na huo ndio umeshikilia pesa za bunge na Mahakama kwa hiyo ile issue ya separation of power inajifia by default

Tanzania kwa katiba yetu maamuzi ya Rais ndio maamuzi ya mwisho huruhusiwi kuyahoji wala kuyaongelea ovyo

Rais akipelekewa muswada na akausaini tambua hiyo ndio imeisha na hiyo ndio sheria ya nchi

Kwenye safari ya mamba na kenge wapo,Kwenye safari ya maendeleo kenge wapo wengi sana wanaotaka kujifanya mamba kwa kupinga uwekezaji

Welcome Dp World in Tanzania ,Tunampongeza Mama Samia kwa kusimamia msimamo wa katiba yetu

Samia ni kamanda in chief wa majeshi yetu haendeshwi na story za vijiweni
Usimdanganye Bure,Hana lolote. The majority decision is locuta causa finita
 
ni lugha ya kilatini ndio lakini sio lugha ya kisheria, hutumiwa sana na kanisa katoliki kwenye dogmatics issues, kuonyesha ukuu wa kanisa katika mafundisho yao, yaani, Roma Locuta Causa Finito, when the Rome says it is finished, only in dogmatic issues when the ecclesia is extra cathedra, msimamo wa kisheria ni Ibara 13, ya katiba ya JMT na Katibu nyingi dunia, kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria. all people aare equal before the law

acha uongo mkuu, wote tuko sawa before the law, ibara ya 13 ya katiba
Darasani ndio unavyodanganywa hakuna mtu aliye juu ya katiba,Practical kuna watu wanaweza kukupoteza sekunde mbili tu

Elimu unayofundishwa ni elimu ya ulaya sawa,Elimu yako haitumiki Afrika

Ulaya hakuna mtu aliye juu ya katiba ,Afrika watu wapo juu ya katiba sawa

Elimu uliofundishwa ni elimu uchwara ulidanganywa ndio maana tunabadilisha mitaala

Hivi wewe nikikupokonya cheti chako unabakiwa na kitu gani?

Sasa wenzako wanabaki na Practical na uhalisia
 
Darasani ndio unavyodanganywa hakuna mtu aliye juu ya katiba,Practical kuna watu wanaweza kukupoteza sekunde mbili tu

Elimu unayofundishwa ni elimu ya ulaya sawa,Elimu yako haitumiki Afrika

Ulaya hakuna mtu aliye juu ya katiba ,Afrika watu wapo juu ya katiba sawa

Elimu uliofundishwa ni elimu uchwara ulidanganywa ndio maana tunabadilisha mitaala
mliodanganywa ni ninyi machawa hamjui haki zenu na mko tayari kuuza utu wenu kwa kumfurahisha, mkuu naheshimu utu wangu na simwogopi mtu, naiishi katiba hata kama ni mbovu natembea nayo.

utumwa unaoishi wewe usidhani ni kila mtu dogo
 
mliodanganywa ni ninyi machawa hamjui haki zenu na mko tayari kuuza utu wenu kwa kumfurahisha, mkuu naheshimu utu wangu na simwogopi mtu, naiishi katiba hata kama ni mbovu natembea nayo.

utumwa unaoishi wewe usidhani ni kila mtu dogo
Achana na story za siasa kunywa bia mkuu leo weekend ,
Kama una kitambulisho cha kificho nitumie ID numbers PM nikutumie pesa kwa western union,kwa m pesa au Tigo na Airtel utasomeka utambulisho wako

Kunywa bia mkuu ,Mambo ya siasa ni jumatatu

Tafuta ID ambayo sio yako ni PM nitume western union locally
 
President Samia Suluhu locuta causa finita"President Samia has spoken .Her words are final "You are not required to question

Kumbukeni hayo ni maneno ya kilatini na ndio msingi wa sheria zetu

Mnaomsifia Kibatala na Tundu lisu na yale maneno yao basi jua ni jargon za kilatini

Sasa kwa katiba yetu Tanzania kwa kilatini Rais wetu ni locuta causa finita

Mnaohoji bandari ,Swali lenu Pascal Mayalla alishamuuliza JPM na akajibiwa kuna mzizi uliojichimbia zaidi kwenda chini na huo upo kwa mujibu wa katiba na huo ndio umeshikilia pesa za bunge na Mahakama kwa hiyo ile issue ya separation of power inajifia by default

Tanzania kwa katiba yetu maamuzi ya Rais ndio maamuzi ya mwisho huruhusiwi kuyahoji wala kuyaongelea ovyo

Rais akipelekewa muswada na akausaini tambua hiyo ndio imeisha na hiyo ndio sheria ya nchi

Kwenye safari ya mamba na kenge wapo,Kwenye safari ya maendeleo kenge wapo wengi sana wanaotaka kujifanya mamba kwa kupinga uwekezaji

Welcome Dp World in Tanzania ,Tunampongeza Mama Samia kwa kusimamia msimamo wa katiba yetu

Samia ni kamanda in chief wa majeshi yetu haendeshwi na story za vijiweni
Locuta causa finita !! 🔨
 
90% ya Katiba yetu ilitungwa na mkoroni

so hatakama ccm wasinge wahi kufanya upuuzi bado kulikuwa Kuna haja ya kuivunja Katiba ya kikoloni iliyopo Sasa

Katibahii ipo kiukanda mizaji zaidi Niya kima tabaka sana

Sheria hizi sio Sheria za kutetea watumwa hapana
Nisheria za kuwa
tetea wanao watawala watumwa

Labda niseme kwamba hatuja
pata Uhuru bado mpaka pale katiba ita badilishwa ndipo tutakuwa tume pata Uhuru kamili

Fikilia kuhusu mtu kwakuhisiwa tu kwamba wewe ni mharifu tu unafungwa

y kwakuhisiwa?

Fikilia kuhusu uchaguzi tume ya uchaguzi inateuliwa na serikali ya chama tawala na inalipwa na chama tawala nabado tutegemee upinzani washinde kivipi?

Fikilia kuhusu wakuu wa mikoa wilaya wanateuliwa na raisi badara ya kuchaguliwa na wanainchi wa mikoa husika

na bado tutegemee maendeleo kwenyemikoa yetu au wapinzani kuwa sarama ndani ya mikoa ya wateuliwa wa raisi anaye walipa wakuu hao wa mikoa?

Kali kuliko katiba inasema ukitaka kumshtaki raisi lazima utaje mkoa,wiraya,tarafa,kata,kitongoji,mtaa,na namba ya nyumba unayo kaa 😂😂😂😂

Je unajua
kinacho fuata baada ya nyumba kujurikana?😂😂😂

baada ya hapo unapewa R.I.P Kisha unakutana na RAISI mahakamani ukiwa marehemu

Kunavitu ukiviskia unabaki kucheka tu karibu bongo😂😂
 
Achana na story za siasa kunywa bia mkuu leo weekend ,
Kama una kitambulisho cha kificho nitumie ID numbers PM nikutumie pesa kwa western union,kwa m pesa au Tigo na Airtel utasomeka utambulisho wako

Kunywa bia mkuu ,Mambo ya siasa ni jumatatu

Tafuta ID ambayo sio yako ni PM nitume western union locally
story zako zinakutambulisha kuwa naongea na mtu wa gani dah? GOd forbid, pls sina maisha ya kuwaza nakula nini au nakunywa nini, nilishatoka kwenye hizo stage, au kuuliza vitu bei, sikumbuki. ndio maana vijana wengi mmekuwa machawa kumbe tatizo ni beer, na chakula. work hard vitu vitakuja tu wala huitaji kuwa chawa mkuu.

weekend sio siku ya kutafuta wanasiasa. fanya kazi unaweza kila kitu kitakuwa kizuri
 
ni lugha ya kilatini ndio lakini sio lugha ya kisheria, hutumiwa sana na kanisa katoliki kwenye dogmatics issues, kuonyesha ukuu wa kanisa katika mafundisho yao, yaani, Roma Locuta Causa Finito, when the Rome says it is finished, only in dogmatic issues when the ecclesia is extra cathedra, msimamo wa kisheria ni Ibara 13, ya katiba ya JMT na Katibu nyingi dunia, kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria. all people aare equal before the law

acha uongo mkuu, wote tuko sawa before the law, ibara ya 13 ya katiba
Uko sawa before the law na nani wakati Rais ana Kinga, wewe leo ukiua na Samia akiua wewe utashitakiwa kwa mauaji Rais Samia hatashtakiwa kwa mauaji sasa na hawawezi kumshitaki hata akitoka madarakani.

Leo Samia akikukopa pesa asipokulipa ukitaka kumshitaki kudai pesa zako hizo conditions zilizowekwa na katiba ndiyo utajua mpo sawa before the law au la. Katiba inasema kabla hujamshitaki Rais kwa madai lazima umpe notisi ya siku 30 ukijitambulisha jina lako, unamdai shingapi na zimetokana na nini, uweke anuani yako unapatikana wapi nyumba na mtaa.

Hata hilo swala la separation of powers siyo realistic kwa katiba ya Tanzania achilia mbali duniani hakunaga total separation of powers.

Kwa Tanzania Rais hawezi kuwa sawa na viongozi wa mihimili mingine kama bunge na Mahakama, cheo pekee kinachomfanya Rais awe sawa na mihimili mingine ni cheo cha kiongozi wa serikali. Ukiondoa cheo cha kiongozi wa serikali Rais ana vyeo vingine viwili vinavyomfanya awe juu ya Mihimili hiyo mingine navyo ni

1. Cheo cha mkuu wa nchi

Kama mkuu wa nchi Rais ni boss wa kila mtanzania ni Sawa na King Charles wa Uingereza, bunge na Mahakama vipo chini yake. Yeye huteua Jaji Mkuu na majaji wote wa Mahakama kama mkuu wa nchini nk

2. Pia cheo cha amiri jeshi mkuu kina mfanya awe juu ya mihimili mingine ya dola.

Kiufupi Tanzania haina total separation of powers (mgawanyo wa madaraka). Dana ya mgawanyo wa madaraka inataka kila muhimili uwe huru kutekeleza kazi zake bila kuingiliwa na muhimili mwingine. Hili haiwezekani kwa asilimia Mia dunia nzima kwa sababu kuna check and balance, mihimili lazima isimamiane na kuathiriana. Kuna Sifa/misingi minne ya mgawanyo wa madaraka (separation of powers).

1. Functional separation of powers (mgawanyo wa kazi)

Bunge lina kazi ya kutunga sheria, Mahakama ina kazi ya kutafsiri sheria na serikali ina kazi ya kutekeleza sheria. Lakini kwa Tanzania Serikali huwa inatunga sheria ndogo ndogo (bylaws), Lakini pia Mahakama inaweza kubatilisha sheria ya bunge kama ikibainika inakinzana na katiba, hivyo katika check and balance Mahakama na serikali zinaingilia kazi ya bunge na kulimit. Kwahiyo bunge linatunga sheria watu wanaenda mahakamani kushtaki, Mahakama inaifuta hiyo sheria.

2. Institutional separation of powers
(mgawanyo wa kitaasisi)

Nchini Tanzania Rais ni sehemu ya bunge, ukiona katiba unaambiwa Parliament has 2 parts
1. National assembly
2. President

How strange, Rais ambaye ni kiongozi wa serikali na anakuwa sehemu ya bunge, ukiulizwa unaambiwa anakuwa sehemu ya bunge kama mkuu wa nchi

3. Parsonel separation of powers
Mgawanyo wa madaraka wa watu au nguvukazi.
Ili kufikia mgawanyo Kamili wa madaraka Kila muhimili unatakiwa uwe na watu wake tofauti.

Nchini Tanzania waziri mkuu, mawaziri na manaibu waziri ni wabunge hivyo wapo kwenye mihimili miwili wa serikali na bunge.
Mwanasheria mkuu wa serikali ni mbunge. Pia katiba yetu inaruhusu mtu kuwa mbunge na mkuu wa mkoa kwa wakati mmoja.

4. Mipaka ya mamlaka ya uteuzi

Rais anateua watu wa mihimili mingine, anateua wabunge, anateua jaji mkuu na majaji wote.

HIVYO BASI: Tanzania kama zilivyo nchi nyingi haina mgawanyo Kamili wa madaraka, na Rais wa Tanzania ana mamlaka makubwa Sana, limit pekee na ya maana iliyopo kwenye ni presidential term limit ikiondolewa hiyo anakuwa mungumtu
 
Sasa kwa nini uweke kilatini na siyo kikwenu kiarabu kama hata wanakukubali?
 
Back
Top Bottom