Abdalla Khamis
Member
- Jun 13, 2011
- 59
- 8
bila shaka naomba ifahamike kuwa,hakuna chochote kinachosemwa na cdm isipokuwa uroho wa madaraka tu.hoja inadhihirishwa kwa makini kwa kuieleza safu ya uongozi wa chadema iliyojaa undugulization na ukabila bila kuusahau ukanda kama ifuatavyo:
1:grace kiwelu ndesamburo ni mbunge wa viti maalum ambaye ni mtoto wa ndesamburo,mb wa moshi mjini na ni mdhamini wa cdm.hapa inaonekana cdm imeanza kulipata fadhila hata kabla ya kwenda ikulu.hivyobasi tujiadhari kung'olewa uongozi pale tu cdm itakapopora nchi maana slaa atawateua wachaga na familia ya ndesamburo.kuikabidhi nchi hii kwa cdm ni sawa na kuishonea sanda tayari kwa kuizika.
2:lucy owenya ni mb. Viti maalum ambaye pia ni shemeji wa ndesamburo
3:rose kamili ni mb. Waviti maalum ambaye ni mke wa ndoa wa padri slaa
4:christina lissu ni mb.viti maalum ambaye ni dada wa tundu lissu mb.
5: Mhonga saidi ruhwanya ni mb.viti maalum na ni mchumba wa zitto zuberi kabwe.
6:mbowe ni mke wa mtei na mtei ni mwaasisi wa cdm.je wewe unaona kuna ukombozi hapo?au ni usanii tu? Fungukeni nyie wanamagwanda.tusiipeleke nchi yetu shimoni.basi kama mupo tayari tutawalisha unga wa rutuba ili muone darkside ya cdm ambayo ndani ya chadema huwezi kuona walakuihisi.
Naomba kuwasilish wanajamii
1:grace kiwelu ndesamburo ni mbunge wa viti maalum ambaye ni mtoto wa ndesamburo,mb wa moshi mjini na ni mdhamini wa cdm.hapa inaonekana cdm imeanza kulipata fadhila hata kabla ya kwenda ikulu.hivyobasi tujiadhari kung'olewa uongozi pale tu cdm itakapopora nchi maana slaa atawateua wachaga na familia ya ndesamburo.kuikabidhi nchi hii kwa cdm ni sawa na kuishonea sanda tayari kwa kuizika.
2:lucy owenya ni mb. Viti maalum ambaye pia ni shemeji wa ndesamburo
3:rose kamili ni mb. Waviti maalum ambaye ni mke wa ndoa wa padri slaa
4:christina lissu ni mb.viti maalum ambaye ni dada wa tundu lissu mb.
5: Mhonga saidi ruhwanya ni mb.viti maalum na ni mchumba wa zitto zuberi kabwe.
6:mbowe ni mke wa mtei na mtei ni mwaasisi wa cdm.je wewe unaona kuna ukombozi hapo?au ni usanii tu? Fungukeni nyie wanamagwanda.tusiipeleke nchi yetu shimoni.basi kama mupo tayari tutawalisha unga wa rutuba ili muone darkside ya cdm ambayo ndani ya chadema huwezi kuona walakuihisi.
Naomba kuwasilish wanajamii