Semenya
JF-Expert Member
- Sep 5, 2009
- 572
- 51
historia ya Norway na sweeden ipo tofaut na nchi za Africa..kuanzia 1940s uchumi wao ulikua tayari mbali kulinganisha na Africa.....tatizo naloliona wazungu wanatake advantage kwani hatuna enough sources, MUULIZE MUGABE, leo hadi comowealtth scholarship Zimbabwe inakua excludedNa mimi nitakujibu kwa swali.... nchi kama Norway, Sweden wawekezaji walitoka wapi?