RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,720
- 107,836
Wewe utakuwa mgeni humu.Ha ha ha utakuwa Liverpool
Wewe utakuwa mgeni humu.Ha ha ha utakuwa Liverpool
TFF bado hawajakuona?
Unaonekana ni mtaalamu wa mpira. Uisaidie Taifa Stars.
Jicho lako laona mbali brother,Kumuacha Fab litakuwa kosa kubwa mno
Ipo siku twajuta ati
James hatatusaidia lolote lile
Ngoja tukae pembeni maana Conte na Mo hawana tofauti
Hilo halina ubishi kwanza huu mfumo wa viungo wawili wakabaji unatukosesha ushindi kabisaHakuna haja ya Conte kuwachezesha Matic na Kante pamoja, matic kachoka, Kante aanze na Fabrigas bado ni muhimu sana kwenye kikosi.
Kocha atamuelewa fab tu,maana anamuona Fabrigas kama yuko slow lkn jamaa anapiga pasi za mwisho.Hilo halina ubishi kwanza huu mfumo wa viungo wawili wakabaji unatukosesha ushindi kabisa
Ivanovic , as longer as yuko first eleven tuna TATIZOConte on Willian absence: 'He has a small problem with his calf so better not risked today. It's a little problem.' #CFC
Sent from my MediaPad 7 Youth 2 using JamiiForums mobile app
Kuvizia ni MBINU piaChelsea hatuna uzuri wowote haya magoli ya kuvizia vizia hayafai kabisa
kwa kitendo cha conte kumweka fabrigas nje" nimeanza kumchukia tu ............. "CONTE OUT"
Aiseee, yalikua makubwa tena zaidi ya hiiStill..a shit game!