Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Jamaa kaumia sn..... Tusubiri tuone.....Dah" mi hiyo picha naogopa hata kuiona, ila hope atarejea mapema. Zouma ana mwili mzuri, huwa hachelewagi kupona.
Jamaa kaumia sn..... Tusubiri tuone.....Dah" mi hiyo picha naogopa hata kuiona, ila hope atarejea mapema. Zouma ana mwili mzuri, huwa hachelewagi kupona.
Usijali Mkuu tumuombee apone haraka!Kiukweli kaka mmepata pigo kubwa dogo Zouma ni mpambanaji...alivyoumia tu ndo tukapata. bao
It's so sad to all football fans!!!
Pole sana Mentor. Ni changamotoI hate Hiddink. Na siku yoyote akiwapanga hao Matic na Mikel kuanza game siangalii hiyo mechi....ts guaranteed to be a boring game!!!
Usitegemee anything positive kutoka kwa Hiddink afadhali ya LVG,Hata jana baada ya kumtoa Matic ndio timu ikabadilika.Kabla ya kumfukuza Jose nafikiri Roman alitakiwa kufanya kikao na wachezaji kwanza,I hate Hiddink. Na siku yoyote akiwapanga hao Matic na Mikel kuanza game siangalii hiyo mechi....ts guaranteed to be a boring game!!!
I hate Hiddink. Na siku yoyote akiwapanga hao Matic na Mikel kuanza game siangalii hiyo mechi....ts guaranteed to be a boring game!!!
Usitegemee anything positive kutoka kwa Hiddink afadhali ya LVG,Hata jana baada ya kumtoa Matic ndio timu ikabadilika.Kabla ya kumfukuza Jose nafikiri Roman alitakiwa kufanya kikao na wachezaji kwanza,
The legend aongezewee mkatabaLabda kuumia kwa Zouma kutasaidia Kumuongezea mkataba John Terry walau for one more season!!!
time will tellChelsea mchukue uefa ebu acheni masihara kwa timu gani ile ya foward costa